afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Wewe binti wewe...ntafunga kwa ajili yako...!Hehehe
hahahahahah lol
:amen::amen::amen:
Wewe binti wewe...ntafunga kwa ajili yako...!Hehehe
Akiwa gengeni akiongezwa nazi na mwenye genge!Mama mchungaji akiwa wapi?
Huwa haendi sokoni wala magengeni! Waumini hufanya shopping kwa mama Mchungaji. Kumbuka ni mama wa kiroho huyuAkiwa gengeni akiongezwa nazi na mwenye genge!
Lizzy, mwambie massa tunafanya logistics za kufanyia ministry yake audit.......tutadetermine pia matumizi yako kama ni kwa personal au ministirial purposes.
Usikae pembeni, njoo huku, come this way!Uwiii!Yani sherehe nimeandaa kuwakutanisha wasaliti wa mama mchungaji!Ngoja nikae pembeni kabla presha haijapanda!
Wakina mama wengine ndo wanaleta vyakula,ww na mama mchngj mnawaombea matika roho na kweli....that is, matumizi ya wamama wengine ni katika mwili?Huwa haendi sokoni wala magengeni! Waumini hufanya shopping kwa mama Mchungaji. Kumbuka ni mama wa kiroho huyu
Mwanaume asiyekulinda ni sawa na mchungaji alaye kondoo wake huku akicbagua aliyenona.Afadhali Bigi umekuja...naona hawa watu wanatamani hata nisingekuwepo hapa!
Jamani wewe..mbona tafsiri yake simple tu!Maziwa ya kutosha!
Wakina mama wengine ndo wanaleta vyakula,ww na mama mchngj mnawaombea matika roho na kweli....that is, matumizi ya wamama wengine ni katika mwili?
Nakuja!
Twenzetu mamaa, masa ajutieYani sijawahi kuona mtu anapokelewa kwa mbwembwe hivi alafu attention kwingine!Embu twende zetu!
ulinikuta kwa dimbwi la tatizo ukajidai eti napita tu,mi sikupendi honestly,mchungaji na arudi......namsubiri hapa hapa......bora awe na mpango wa kando kuliko wewe.........lol:a s 20::a s 20:
Hi Michelle!akifika tu huyo baba mchungaji naomba mnijulishe akaniongoze maombi niweze kulitatua kirahisi lile changanyiko languKaribu sana baba Mchungaji,huyu mama Mchungaji majukumu yalimshinda sina hamu nae............:coffee:
Nimejifunza mama mchungaji si mchungaji.......lol