Nightangale
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 265
- 2
Acha uongo wako na wewe hapa, wayii!!Hizo data zinazotolewa napingana nazo maana kawaida binti wa kichagga akiolewa ni lazima the following day wakahakikishe alikuwa mzima ama mzigo ulishaliwa kwa kwenda kukagua mashuka sasa hapo endapo dingi amekuja itakuwa si itakuwa abu yake?