snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
Jibu ninalo ila nkiandika humu ntaonekana mi ni mkabila
Ah wachana nao!!
Nipe hesabu ya leo dukani na gereji
Mi namalizia ya hardware,ya shambani na mifugo gervasi atafunga by saa 3!
Utanikuta kimara au temboni?