Jamani muogopeni Mungu, asilimia tisini ya matatizo yaliyopo sasa hivi Jk kayakuta, mfano ufisadi wote kwenye madini, umeme na Epa vimefanyika wakati wa Mkapa.Leo hii Jk anatupiwa lawama ambazo kimsingi kazikuta, sidhani hata kama angepewe nchi huyo Slaa wenu kama angeweza fanya chochote zaidi ya kusema kuwa ilani yetu iko hivi.
Jamani muogopeni Mungu, asilimia tisini ya matatizo yaliyopo sasa hivi Jk kayakuta, mfano ufisadi wote kwenye madini, umeme na Epa vimefanyika wakati wa Mkapa.Leo hii Jk anatupiwa lawama ambazo kimsingi kazikuta, sidhani hata kama angepewe nchi huyo Slaa wenu kama angeweza fanya chochote zaidi ya kusema kuwa ilani yetu iko hivi.
Unataka JK ajihuzuru wakati wewe ni mtoto wa mtu aliyefilisi moja ya mashirika ya umma inchini kwa kukwiba pesa nyingi, na kakusomesha shule nzuri, kazi nzuri hata nyanya tu unanunua Mlimani City hayo huyaoni ila unaona ya JK tu? Acha zako bana!
Tuthibitishie kuwa si JK aliye shiriki ununuzi wa rada feki uliogharimu mabilioni ya pesa akiwa kama waziri wa mambo ya nje.
... Eti nitaleta uchumi unaopaaa. My foot!!!!!
Daima ukishaivaa miwani ya udini huwezi kufiri/kuona mbali! Hivi JK wakati wa utawala wa Mkapa alikuwa ana wadhifa gani na ni yepi yalikuwa majukumu yake?acha kudandia gari kwa mbele,Rada ilinunuliwa wakati wa bichwa mkapa na ndo mana chenge anahusishwa kwa sababu alikuwa ndo mwanasheria mkuu wa serikali.Thibitisha ww kikwete anahusika vp
jamani muogopeni mungu, asilimia tisini ya matatizo yaliyopo sasa hivi jk kayakuta, mfano ufisadi wote kwenye madini, umeme na epa vimefanyika wakati wa mkapa.leo hii jk anatupiwa lawama ambazo kimsingi kazikuta, sidhani hata kama angepewe nchi huyo slaa wenu kama angeweza fanya chochote zaidi ya kusema kuwa ilani yetu iko hivi.
daima ukishaivaa miwani ya udini huwezi kufiri/kuona mbali! Hivi jk wakati wa utawala wa mkapa alikuwa ana wadhifa gani na ni yepi yalikuwa majukumu yake?
kama kayakuta kazi yake ni kuonyesha njia ya kuyakabili na kuyarekebisha sio kulalama tu ina maana ukioa mwanamke ambae alikua anajiuza mitaani basi hauwezi kumrekebisha eti kwa kuwa ulimkuta hivyo? Acha utetezi dhaifu ambao hauna hata maana kwa jamii
unanichekesha alizikuta ili azishughulikie na si aziendeleze,Jamani muogopeni Mungu, asilimia tisini ya matatizo yaliyopo sasa hivi Jk kayakuta, mfano ufisadi wote kwenye madini, umeme na Epa vimefanyika wakati wa Mkapa.Leo hii Jk anatupiwa lawama ambazo kimsingi kazikuta, sidhani hata kama angepewe nchi huyo Slaa wenu kama angeweza fanya chochote zaidi ya kusema kuwa ilani yetu iko hivi.