I think this explains why...Hahahaha umenipa maujiko afu ukamalizia na mharibiko ...... khaa!
kuna mababa wanakula kuku na mayai yake:madgrin:
napenda sana jina langu Asprin manake wengi lawatatiza kulitaja. Hawa vidume wangu ni noma sana, binafsi najisifu kazi ya usiku na GY haikwenda bure lol! kwanza mahandsome pili wana akili sana tatu heshima mkononi, nne wanapata madesa ya kuwa wababa bora kutoka kwa GY kwani he is ever a good dady to them.
Hofu yangu kwa hivyo vibinti vinasoma bweni lol......... sijui mimi ila uwani na sebuleni hapakawii kuharibiwa ama na @mr rock au wenyewe. take care aisee. But nakuombea sana na siyo wewe tu wote wanaolea watoto wadogo wakike kwa wakiume napiga magoti sana juu yenu na wanenu.