klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
kura yangu inakwenda kwa kaka zubeda mchuzi hehehehe
kikwete
of course ur
Kwa kutumia antena ya kutizama post tu, nadhani Dark City ni baba mzuri sana.
Dark City, sidhani kama unaweza kuwa baba mzuri bila kuwa mume mzuri.
Hayo ya matenga ya nyanya, jogoo, mchele na mkaa siku ya wapendanao ndo yamenifanya nikakuchagua kuwa baba mzuri only if kama unafanya kweli hayo.
Ndugu yangu Kongosho,
Hebu acha kutuchanganya....Kwa kufanya hayo, wenyewe walishasema unakuwa siyo romantic...Sasa unawezaje kuwa mume bora wakati si romantic?
Babu DC!!
Dark City, siwasemei wengine
najisemea mie
interpretation za romantic ni tofauti mno katika dunia ya dot com ukichanganya na sie wa enzi za nuhu lol
hao wa kutaka 'candle dinner', 'pillow fight' na 'sun bath' nao wana dunia yao, siwezi wapinga wawazacho.
tatizo humu ni ngumu kujua yupi baba yupi mama yupi kaka yupi dada, maisha ya humu ni fake kuanzia majina, posts........ kuna akina Kongosho wengi humu, hawaeleweki
ha haaaaaaaaaaa, mtatongoza waume wenzenu humu ndani, hiyo ni kama bado hamjafanya hivyo, lol!kabisa kuna member humu kama kongosho asiyeeleweka jinsia yake,kuna mwine sitamtaja. Ni dume na nilishawasiliana naye,lakini humu jf watu wanajua ni jike kwa 100% na majukwaa yote hapa jf wanajua ni jike.
kabisa kuna member humu kama kongosho asiyeeleweka jinsia yake,kuna mwine sitamtaja. Ni dume na nilishawasiliana naye,lakini humu jf watu wanajua ni jike kwa 100% na majukwaa yote hapa jf wanajua ni jike.
Hahahaha umenipa maujiko afu ukamalizia na mharibiko ...... khaa! Hata hivyo ODM anakupa mheshimiwa Mentor :clap2: matatu ya heshima. Leo ukitoka kibaruani upitie home nikupe juche la "Namna bora ya kuishi na familia, ukaonekana baba bora japokuwa hauna ubora"
Hii post naiprint na ntaipeleka kwa bibi yenu ili aone jinsi navyoheshimika pamoja na kuwa kinara wa kupiga ulabu kaunta ya juu. Afu hivyo vijamaa ushavipa twisheni ya jinsi ya kuishi na mabinti zangu? Usisahau vishazoea kulelewa na "mwanaume" wa ukweli. Baada ya kusema hayo nakupa shkang gfsonwin. Damn! Jina lako gumu kama makande ya jela.Binafsi nasema baba bora wa jf ni Mwana Mtoka Pabaya, Bazazi na ukweli siwez kufunga pasi kumtaja mzazi mwenzangu baba mzaa chema Asprin. Hao wakwe zangu please usimwachie @ mr rocky au Bishanga wakawabi....ri
Hahahaha umenipa maujiko afu ukamalizia na mharibiko ...... khaa! Hata hivyo ODM anakupa mheshimiwa Mentor :clap2: matatu ya heshima. Leo ukitoka kibaruani upitie home nikupe juche la "Namna bora ya kuishi na familia, ukaonekana baba bora japokuwa hauna ubora"
Hii post naiprint na ntaipeleka kwa bibi yenu ili aone jinsi navyoheshimika pamoja na kuwa kinara wa kupiga ulabu kaunta ya juu. Afu hivyo vijamaa ushavipa twisheni ya jinsi ya kuishi na mabinti zangu? Usisahau vishazoea kulelewa na "mwanaume" wa ukweli. Baada ya kusema hayo nakupa shkang gfsonwin. Damn! Jina lako gumu kama makande ya jela.