Baadhi ya Wazanzibari wapinga Tanzania kudai eneo zaidi la mpaka wa bahari kuu

duhu, kazi kweli kweli, wewe unamawazo ya maji maji? Tope tope?

hivi we MS si ni mkeleketwa wa CUF wewe? Unakumbuka wawakilishi wa chama chako walisemaje kipindi Lisu anazungumzia kuhusu huu muungano? Au ndo yale ya ujanja mwingi mbele kiza.
 
Natamani na sisi huku bara tungeandamana kuwaunga mkono wapewe ki nchi chao. tubaki kwa mbali tukiwawtch - tuuone huo umoja wao na wanavyopendana.
Nimejua ni kwa nini Baba wa Taifa alisema angekuwa na uwezo angevisukumia mbali vile visiwa. Maana by nature wale jamaa ndivyo walivyo.
Kama By nature ndivyo mlivyo, kungangania kisicho chenu! Kwani hii ni tabia gani mlionayo nyie kwa mtu kutaka chake nyie mkachukia? Atakae chake apewe tu isiwepo longolongo! Mbona yangelikwishakwisha na hiyo filamu unayotaka kuiona ingekwishafika END kama kweli ni waungwana wa kujuwa neno sitaki!
 
Baada ya gogoro la CUF/CCM kutulia kwa Maalim kupewa umakamu sasa wanatafuta wapi wafanye migogoro
Kwao kukaa bila gogoro hawajaridhika.

Mwl Nyerere was right, hata wakivunja Muungano lazima Pemb/Znz zivunjike make bila migogoro na kupigana hawaoni kama wanaishi.

Kazi kweli kuishi na watu kama hawa. Na wanasiasa hawana cha maana cha kuwambia zaidi ya kuanzisha zogo tu.

Hivi mtastarabika lini nyie
 
Wazanzibari na wao wapewe uhuru wao bana wataendelea kutawaliwa mpaka lini? Maana naona kama wanatawaliwa indirect afu isitoshe uzembe wa viongozi wa bara ndo unawayumbisha na wao nadhani kusingekuwa na huu muungano wangekuwa wamesonga sana kimaendeleo
 
Tatizo lako ww msahaulifu, unaikukumbuka ile kesi ya uhaini ya akina DUNI hapo Zenj, Jaji alisema nini? mbona hukupinga wakati ule au sasa baada ya ndoa ya vyama umesahau. Halafu bila haya wala soni unanitukana kinafadhaisha tutawavumilia mpaka lini? Jielimishe na uondoke kwenye chupa humo ulimojifungia. ZANZIBAR SIO NCHI kama ni nchi nioneshe passport yako ya kusafiria. ACHA Ubishi realznzrian ZENJ sio nchi. and acha kutukana watu, tuna heshima zetu unatufulia hali hewa. ZANZIBAR SIO NCHI

Sema na ufure! Hasira, Kejeli na maneno yote hayabadilishi ukweli. Wewe si kichuguu tu Pinda alisema hivyo na leo muulize je atakuwa pamoja nawe? Na iwapo kama unavyosema ni kweli basi hii Tanzania si nchi yenye kufuata Sheria kwani Katiba ya Zanzibar inasema kuwa Zanzibar ni nchi huoni huo ni uhaini? Mbona mko kimya wewe na hao wakubwa zako?
 
Bravo zanzibaris, tuko pamoja; watanganyika wasiopenda any kind of oppression, waacheni wazanzibar wawe huru bana
 
why always Zenj? Watu 2m wanasumbua 40m? Rais kakaa kimya tu! Baraza la mawaziri kimya! Wabunge wa CCM kimya! Wanaharakati kimya! Wanasheria kimya! HIVI Watanganyika tumerogwa?

Eti umesema Arusha vile au Mwanza?
 
Wanaacha kwenda kufanya shughuli za kuijenga nchi yao 'zanzibar' wanapenda kuandamana. Huu muungano uvunjike tu wanalelewa kama watoto lakini hawakui wanabakia kuwa watoto. Mleta habari ni hivi muungano hata sisi hatuutaki
 
MALARIA DUGU IMEPANDA KICHWANI EEHH;WEWE UNAFAFIKIRI HAO WALA UROJO WANAWEZA KUWA NA MAWAZO YA KIMAPINDUZI AU WANAFIKIRIA VIKOI NA DAKU??

NINGEKUWA RAISI HUU MUUNGANO NINGALIUVUNJILIA MBALI SIKU NYINGI HOA WAZANZIBARI WANACHEZA BAO KUTWA KUCHA SISI HUKU TUNAPIGIKA HALAFU MWISHO WA SIKU TRA WANAWAPA GAWIO LINALOTOKANA NA KODI ZETU


WEWE Na HAO WALA UROJO MASABURI NYIE


Bahati mbaya uko ghali hata kufikiri. Huwezi kuwa Rahisi baada ya kutoka Bara na kuja Dar ukakuta tayari hao wala urojo wameshawafunza ustaarabu wenzio. We kalia hivyo tu. Laiti ungejielewa wapi unakotoka na vipi hao wala urojo walivyokufikisha hapo basi ungekuwa na lugha tofauti na hiyo.
 
hata sielewi sasa.. Matokeo ya Maisha Magumu kwa Umma wa watanzania utazaa Mengi.. Nadhani Rais wa Awamu hii atajuuuta kwelikweli kukalia likiti libovu.. Mara Leo Tunaskia watu kwenye Nyumba ya Ibaada ya Mwenyezi Mungu wanakula halua na Kushangilia Hamad Kutimuliwa chamani, Mara wanafunzi wa shule badala ya kugomea ubovu wa elimu, vitabu au maabara wao wanagombezana na uongozi wa shule wakidai kujengewa msikiti??!! ah.. Jamani aibu hii mnadhani tunaiweka wapi wengine sisi.. Leo tena kuna wananchi wenzetu wanalalamikia sijui kufutwa au kung'olewa kwa kisiwa chao.. aisee mambo ya ajabu mwaka huu.
Yale ya Msingi yanayohusu ustawi wa maisha, Uchumi na Ujenzi wa Siasa yenye mtazamo wa miaka hii yanawekwa kando na watu tunafukizia maskhara.. Inshalah!!
Mie mwenzenu Mambo haya ya Ubaguzi na Udini yananikera kwelikweli .. Hakuna Mzanzibari wala Mzanzibara, Mtanganyika wala Mdanganyika. Mpare au mgogo. Nafikiri sisi sote ni watanzania.. Dhana ya mawazo haya ya Kibaguzi inatokana na Ugumu wa maisha na jamii kukosa mwelekeo kutokana na walee tuliowaaminisha kutuongoza ambao wameshatugeuka.. Mbona miaka kede kede aliyotawala Mwalimu hakukuwa na harufu hii ya Ubaguzi, miaka ya mwinyi na Mkapa, mambo ya Ubaguzi na Udini hayakujitokeza asilani. Iweje awamu hii, awamu hii kuna nini. ?? why!!
....."Kiongozi yoyote anayeshinda kwenye Facebook akiangalia VIBINT na kutumia muda wake mwingi akichati na VIJIDADA kwenye cm, na Vikimkolezea huviundia safari za Nje ya Nchi na kwenda "Kuvitengeneza" HUKO.. saa ngapi atajali TAIFA..."Nshawakilisha hivyo..


Vilivyo muhimu kwako huenda vikawa ni upuuzi kwa wenzako na kama unapenda Demokrasia basi si kila mtu apate haki yake? Unashangaza unaona upuuzi madai ya Wazanzibari lakini katika upuuzi hujaweka sera za migogoro hapo au ndipo ulipo?



Utawezaje kumkataza mtu asiabudu anachokiopna kuwa kina manufaa kwake? iweje uhisi yako kuwa ndio ya maana na ya wenzako ni upuuzi? Bila shaka utakuwa mpuuzi wewe kufikiri kuwa watu wote wanafikiri sawa!
Hili suwala la Wazanzibari kudai chao halikuanza sasa kama unavyojidanganya. Kwani umesahau mchafuko wa hali ya hewa wakati wa Nyerere? Pengine ulikuwa unanyonya ngumi!
 
tanganyika nayo mmeiua ili muifanye mnavotaka znz bt muda unazungumza .tanganyika yenu inarudi soon mungu atupe uzima

Kumbe na wewe u'miongoni mwao? Japokuwa hufanani na yakutokayo kinywani ! Haya kupanga ni kuchagua ! Lakini ukichagua UTUMBO usije lalamika na Nzi.
 
Halafu ZESCO ilipe deni la 6tl linazodaiwa na TANESCO. Hawa watu wa hii mikoa miwili wanatusumbua kwa kuwa tumewalea sana, wanaongea as if kuna kitu tunanufaika saaaaana kuwa nao. Na nyie wapemba mliojazana buguruni, kariakoo na ilala anzeni taratibu

Ajabu yenu kuwa mnapenda umwinyi. Mnabeba Mabusha huku yakikunyonyeni damu kwa kutaka kuitwa mamwinyi! Hili la kuibeba Zanzibar kwa nguvu zenu (sio matakwa ya Wazanzibar) hukuu nyie wenyewe hamjiwezi ni sawa na hiyo tabia ya umwinyi ya kubeba mabusha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom