Baadhi ya walimu wa Kahororo Secondary na kiherehere cha umbea kwa waajiri

Feb 8, 2012
92
8
Kuna baadhi ya walimu shule ya sekondari Kahororo iliyopo Bukoba-Kagera wamekuwa wakidhalilisha taaluma zao kwa kujikombakomba kwa Afisa Elimu kwa kuvujisha siri za shule na mienendo ya walimu kwa DEO na Mkurugenzi.Lengo lao kuu ni kupata upendeleo kutoka kwa DEO na Mkurugenzi.Tunawaonya wakiendelea na tabia hii tutawalipua hadharani.
 
Back
Top Bottom