Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Baadhi ya viongozi wa chama tawala wanasema wanapinga ufisadi na wanataka Watanzani wawe na maisha bora kwa kutumia rasilimali za nchi.
Wanataka tuwaamini lakini tuzidi kujiuliza kila siku, tunajifunza nini toka kwa mtu au watu ambao kwa mara mbili wamempitisha kushika wadhifa mkubwa kabisa mtu aliyeshindwa kabisa kulikwamua Taifa toka katika matatizo ya kila namna?
Sijui kuhusu ninyi ila mimi siamini kwamba mtu au watu kutoka kundi la aina hii wanastahili tena kukabidhiwa nchi yetu kuisimamia na kuzilinda rasilimali zake kwa manufaa ya kila Mtanzania.
Amesema kwenyea wallpaper yake ya Facebook
Wanataka tuwaamini lakini tuzidi kujiuliza kila siku, tunajifunza nini toka kwa mtu au watu ambao kwa mara mbili wamempitisha kushika wadhifa mkubwa kabisa mtu aliyeshindwa kabisa kulikwamua Taifa toka katika matatizo ya kila namna?
Sijui kuhusu ninyi ila mimi siamini kwamba mtu au watu kutoka kundi la aina hii wanastahili tena kukabidhiwa nchi yetu kuisimamia na kuzilinda rasilimali zake kwa manufaa ya kila Mtanzania.
Amesema kwenyea wallpaper yake ya Facebook