Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Unajua hili suala la academic qualification ni big deal sana katika nchi zinazoendelea kam Bongo lakini waajiri wengi katika nchi za ulaya wanajua kuwa wengi wenye academic qualifications wanamatatizo ya performance kazini
Kwa nini tuandikie mate wakati wino upo?
Tazama Tanzania ishakuwa na watawala walio na elimu za kubobea na mpaka leo baraza la mawaziri limejaa watu wenye postgratuate degrees lakini wanashindwa kuna na solution ya matatizo madogo madogo
sasa whats the point ya kuwa na Makaratasi ya kila namna halafu ufumbuzi wa matatizo ni ZERO?
Kwa nini tuandikie mate wakati wino upo?
Tazama Tanzania ishakuwa na watawala walio na elimu za kubobea na mpaka leo baraza la mawaziri limejaa watu wenye postgratuate degrees lakini wanashindwa kuna na solution ya matatizo madogo madogo
sasa whats the point ya kuwa na Makaratasi ya kila namna halafu ufumbuzi wa matatizo ni ZERO?