Mkandara
Kwa maelezo yako sidhani kama kuna mjadala mrefu hapa, naungana na wewe cheti feki ni kile ambacho mtu amekipata bila kuhudhulia masomo yoyote kama alivyokuwa Kihiyo na elimu isiyo na kiwango ni ile iliyopatikana kwenye chuo kisicho na kiwango kama Phd ya my big friend Mh. Nchimbi on my opinion. Na lazima tutambue kuwa elimu ya njia ya matandao haimaanishi kuwa ni feki au haina kiwango. Mtu kuwa na cheti feki hilo halina mjadala ni kosa la jinai na mtu kuwa na elimu isiyo na kiwango siyo kosa ila ukitumia cheti chao kisicho na kiwango kupatia kazi au kuapatia cheo cha kisiasa tunaweza kukunyima kula kwa kuwa na elimu isyo na kiwango. Lakini tatizo lililopo toka kule bcs times nililipigania sana serikali lazima itoe list ya vyuo vyenye kiwango wanachokitambua baada ya hapo nitafikiria kuna na Nchimbi phase II au la. Mfano wa JK ameutumia kwa yule mbunge wa Bukoba ambaye inasadikika anatumia vyeti vya marehemu.
Kwa maelezo yako sidhani kama kuna mjadala mrefu hapa, naungana na wewe cheti feki ni kile ambacho mtu amekipata bila kuhudhulia masomo yoyote kama alivyokuwa Kihiyo na elimu isiyo na kiwango ni ile iliyopatikana kwenye chuo kisicho na kiwango kama Phd ya my big friend Mh. Nchimbi on my opinion. Na lazima tutambue kuwa elimu ya njia ya matandao haimaanishi kuwa ni feki au haina kiwango. Mtu kuwa na cheti feki hilo halina mjadala ni kosa la jinai na mtu kuwa na elimu isiyo na kiwango siyo kosa ila ukitumia cheti chao kisicho na kiwango kupatia kazi au kuapatia cheo cha kisiasa tunaweza kukunyima kula kwa kuwa na elimu isyo na kiwango. Lakini tatizo lililopo toka kule bcs times nililipigania sana serikali lazima itoe list ya vyuo vyenye kiwango wanachokitambua baada ya hapo nitafikiria kuna na Nchimbi phase II au la. Mfano wa JK ameutumia kwa yule mbunge wa Bukoba ambaye inasadikika anatumia vyeti vya marehemu.