nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Kuna Utofauti kati ya Zanzibar na Bukoba; Jamani tujaribu kuondoa Ignorance zetu na kutofautisha Agenda
Zanzibar Inataka Kujitenga na Muungano na Inatumia Suala la Dini kama nguzo kuu ya kujiondoa kwenye Muungano
Bukoba Wao ni kawaida yao hata Ukikutana nao Dar, Nairobi, US, UK au Bukoba wako hivyo ni kasuba yao ya kuishi maisha ya kiubaguzi na kujisikia hata Lugha Yao ina Haya-English; Sio kuwa wanataka kujitenga ni Tabia yao kupenda Matoke na Senene lakini kasumba yao ni ya kujisikia haswa Wanajiona wako karibu na Waingereza; Yaani ni Sawasawa na Wakikuyu wa Kenya... Ukiwa na Wakikuyu ni hivyo hivyo na nadhani ni zaidi Sababu wao muda wote wanautumia kwenye GOLF SPORTS CLUB utadhani waingereza. kwahiyo kwa Wa Bukoba ni Kasuba - Acha Wafurahie hiyo Kasuba Tanzania is a FREE COUNTRY; Mbona wako Mikoa Mingine wanafanya kazi?
Zanzibar Inataka Kujitenga na Muungano na Inatumia Suala la Dini kama nguzo kuu ya kujiondoa kwenye Muungano
Bukoba Wao ni kawaida yao hata Ukikutana nao Dar, Nairobi, US, UK au Bukoba wako hivyo ni kasuba yao ya kuishi maisha ya kiubaguzi na kujisikia hata Lugha Yao ina Haya-English; Sio kuwa wanataka kujitenga ni Tabia yao kupenda Matoke na Senene lakini kasumba yao ni ya kujisikia haswa Wanajiona wako karibu na Waingereza; Yaani ni Sawasawa na Wakikuyu wa Kenya... Ukiwa na Wakikuyu ni hivyo hivyo na nadhani ni zaidi Sababu wao muda wote wanautumia kwenye GOLF SPORTS CLUB utadhani waingereza. kwahiyo kwa Wa Bukoba ni Kasuba - Acha Wafurahie hiyo Kasuba Tanzania is a FREE COUNTRY; Mbona wako Mikoa Mingine wanafanya kazi?