andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
Baada ya kujua wenzetu wamarekani wanafanya nini katika balozi zao, nianza kijiuliza sana na kungudua kuwa moja ya malengo yao ni kutawala dunia, nivyo inawalazimu washington kujua kila kinachotokea Tanzania, kenya UK,China ...n.k
Wakati wa Nyerere sera ya nje ilikuwa kuifanya Afrika iwe huru, kwa hiyo taarifa alizohitaji zaidi zilikuwa ni kujilinda na kuhakikisha nchi kama namibia,zimbabwe zinakuwa huru.
Mkapa alizanzisha sera mpya ya mambo ya nje, nayo ni Diplomasia ya kiuchumi, kwani ndio mtazamo mpya ili nchi iweze kujitegemea kwa mabo ya muhimu.
Je tunao watu katika balozi zetu wenye mtazamo huo, au tumewaacha wale wale na mtazamo wa zamani. Ni aina gani ya taarifa tuanziitaji toka nje? au ni sehemu ya kuwapunzishia wastaafu?
Wakati wa Nyerere sera ya nje ilikuwa kuifanya Afrika iwe huru, kwa hiyo taarifa alizohitaji zaidi zilikuwa ni kujilinda na kuhakikisha nchi kama namibia,zimbabwe zinakuwa huru.
Mkapa alizanzisha sera mpya ya mambo ya nje, nayo ni Diplomasia ya kiuchumi, kwani ndio mtazamo mpya ili nchi iweze kujitegemea kwa mabo ya muhimu.
Je tunao watu katika balozi zetu wenye mtazamo huo, au tumewaacha wale wale na mtazamo wa zamani. Ni aina gani ya taarifa tuanziitaji toka nje? au ni sehemu ya kuwapunzishia wastaafu?