Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Nimeanza kuingiwa na hofu juu ya usalama wa wananchi wazalendo wanao pigania haki na rasilimali za watanzania dhidi ya watawala wa CCM walioinyonya nchi yetu kuliko wakoloni weupe walivyotuibia.
Madai ya madaktari ni ya msingi kabisa, kwa mfano kwa zaidi ya miezi 7 hospitali ya muhimbili haina CT scan, gharama ya kununua CT scan ni kama shilingi milion 250 tu. Serikali, kama isingekuwa dhaifu ingeweza kuahirisha safari moja tu ya Rais, badala yake aende waziri, fedha za safari zingetumika kununua vifaa vya hospitali. Mpango wa kumuangamiza Ulimboka unatia shaka zaidi kwamba Serikali yetu si tu dhaifu bali na ni goigoi, na iliyoishiwa fikra. Mhe. Mnyika aliposema rais DHAIFU, CCM puuzi, nilikuwa napingana naye. Lakini sasa si tu kwamba nakubaliana na Mnyika bali namtahadharisha Mhe Mnyika kuishi kwa uangalifu mkubwa. Tena ikibidi atafute walinzi wasiopungua SITA wenye weledi mkubwa wa ulinzi
Madai ya madaktari ni ya msingi kabisa, kwa mfano kwa zaidi ya miezi 7 hospitali ya muhimbili haina CT scan, gharama ya kununua CT scan ni kama shilingi milion 250 tu. Serikali, kama isingekuwa dhaifu ingeweza kuahirisha safari moja tu ya Rais, badala yake aende waziri, fedha za safari zingetumika kununua vifaa vya hospitali. Mpango wa kumuangamiza Ulimboka unatia shaka zaidi kwamba Serikali yetu si tu dhaifu bali na ni goigoi, na iliyoishiwa fikra. Mhe. Mnyika aliposema rais DHAIFU, CCM puuzi, nilikuwa napingana naye. Lakini sasa si tu kwamba nakubaliana na Mnyika bali namtahadharisha Mhe Mnyika kuishi kwa uangalifu mkubwa. Tena ikibidi atafute walinzi wasiopungua SITA wenye weledi mkubwa wa ulinzi