Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 827
- 296
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?