Baada ya tendo la ndoa

Blackman

JF-Expert Member
Mar 11, 2012
827
296
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?
 
Hahahahaha!Welcome to the gentlemen's club!Fumba macho!
---Believdat---
 
It's called Post Coital Tristesse (PCT). It is a common 'condition', inatokea kwa wanaume zaidi ila hata wanawake huwatokea. Kuna maelezo mbali mbali kuhusina na hilo, moja ikiwa: you are tense and focussed before sex, you think too much about it and all you want is to have sex for your pleasure. Sasa ukisha pata ulicho taka ndio unakumbuka mambo mengine yote kama mapenzi yako kwa muhusika (or lack thereof), kazi zako ulizo ziacha pending, efforts ulizo invest katika kuhakikisha unapata sex etc. That is what makes you sad. Na ukitoka 'eneo latukio' na kuanza kujishughulisha tena, unahisi sadness (tristesse) inaisha pole pole.
A solution would be to think about the aftermath of the sexual intercause before it happens. Just plan to go out with her, au panga maongezi before you have sex. Pia don't stop doing anything important just because you don't want to miss the oppportunity of having sex.
Unaweza kupitia hapa kwa maongezi kuhusi hiyo 'condition' (which is not so much of a condition nadhani):
Sadness After Sex is a Real Condition
 
Labda unamkosea mwanamke huyo mnapo fanya sex ndo sababu, kama unampatia vizuri kwenye sex vipi umuonee aibu.
 
Kamuone mtaalam wa saikolojia bro!!hiyo hali sio nzuri, sasa ukioa itakuwaje au utamwambia wife atoke nje ukitaka kuvaa?
 
Soon itakuwa haisimami, wait.... sex starts from brain,
meaning ikiwa unamaliza badala ujipongeze na kuendelea na mzigo kwa sana ww unaona aibu tena Mwanaume, this implies uume wako hulala mara moja baada ya sex, soon haitasimama.... Futa haraka hiyo unmatured inferiority complex...
 
It's called Post Coital Tristesse (PCT). It is a common 'condition', inatokea kwa wanaume zaidi ila hata wanawake huwatokea. Kuna maelezo mbali mbali kuhusina na hilo, moja ikiwa: you are tense and focussed before sex, you think too much about it and all you want is to have sex for your pleasure. Sasa ukisha pata ulicho taka ndio unakumbuka mambo mengine yote kama mapenzi yako kwa muhusika (or lack thereof), kazi zako ulizo ziacha pending, efforts ulizo invest katika kuhakikisha unapata sex etc. That is what makes you sad. Na ukitoka 'eneo latukio' na kuanza kujishughulisha tena, unahisi sadness (tristesse) inaisha pole pole.
A solution would be to think about the aftermath of the sexual intercause before it happens. Just plan to go out with her, au panga maongezi before you have sex. Pia don't stop doing anything important just because you don't want to miss the oppportunity of having sex.
Unaweza kupitia hapa kwa maongezi kuhusi hiyo 'condition' (which is not so much of a condition nadhani):
Sadness After Sex is a Real Condition

Your explanation cuts across all fields-, it is scientific, psychological and social. Energy spent-scientific, the act itself-psychological, social- expenses incurred in terms of time, monies etc.
 
Mimi nikishamaliza hua nahitaji nipewe tena na tena,
hata nilikwenda kwa Babu nikanywa kikombe hali hiyo inipungukie sasa ndiyo imeongezeka,
sindwa kusangaa!​



hapo kwenye Bold tuko pamoja
 
mimi nikishamaliza hua nahitaji nipewe tena na tena,
hata nilikwenda kwa babu nikanywa kikombe hali hiyo inipungukie sasa ndiyo imeongezeka,
sindwa kusangaa!

ngoja nimuulize husninyo kama kweli au kamba tu!
 
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?

Duh, ww ukiwa na aibu bibie aweje, labda huwa unajisikia vibaya kwamba kinachokuunganisha naye ni ngono zaidi ya hisia zako za ndani. ili kunogesha mnatakiwa kuongea baada ya ku-do, hapo unaweza kujua km anaridhika au la pengine pia unaweza kupata tathmini ya perfomance yako.
 
ngoja nimuulize husninyo kama kweli au kamba tu!

Tena mbona mtoa mada kaichelewesha hii Sredi !
Yaani ilitakiwa uwe ushamuuliza mwaka jana!
Mapumziko kwangu labda yuko NASA (Mambo ya Air space) bass
vinginevyo ni Libeneke tu !
 
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?

Hii ni hali ya kawaida kwa mwanaume kwa bao la kwanza ukianza kutafuta la pili unarudi hali ya kawaida
 
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?

Duuuuh lakini mshikaji na wewe ni mkali, yaani the first post unauliza ngono hata ukaribisho hutaki. Nadhani majibu sahihi umeshayapata kupitia kwa RR na wengine lakini hodi muhimu.

 
Mapenzi yana-run watu jamani

Duuuuh lakini mshikaji na wewe ni mkali, yaani the first post unauliza ngono hata ukaribisho hutaki. Nadhani majibu sahihi umeshayapata kupitia kwa RR na wengine lakini hodi muhimu.

 
Du ! Ukimaliza concentration huisha na kama mwanamke kakaa kihara unaweza usirudie kwani mawazo mengine kama madeni, ada za watoto n.k hukujia
 
Mimi nikishamaliza hua nahitaji nipewe tena na tena,
hata nilikwenda kwa Babu nikanywa kikombe hali hiyo inipungukie sasa ndiyo imeongezeka,
sindwa kusangaa!


Kwa jibu hili jina lako linakufaa wewe mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom