Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,948
- 32,198
Ntake radhi kwa kusema me ni minor. Kweli ntake radhi. Me kwa taarifa yako nimekuzidi kwa mbali sana ila kwa tabia ya kule kwenu za kujisifu now unapoelekea siko. Nasema hivi, hapa niko na ericb52 na shemejiye mpya madame b. Twala na kunywa. Period.
Unanipa sh ngapi ili unishawishi nimuache Rutta?