Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,205
- 42,067
Kwanza naomba ni mwambie asubuhi ni njema sana.
si kosakumpenda mke wa mtu kimoyomoyo lakini ni kosa kwa vitendo.
kwanza your still minor to get into marriage thats why i warned my client mamdenyi before.
sasa umekuja na story umemuacha mteja wangu eti una mtaka mke wa mtu, kwa hili nitakusamehe because you need psycological help.
kwanza huwezi kumuacha mtu ambaye hajawai kuwa mkeo
Na talaka haitolewi kwa maneno bali kwa taratibu tena za kisheria baada njia ya mazungumzo kushindikana.
sitambui kisheria kama ulikuwa mme wa mteja wangu sababu your still minor.
si kosakumpenda mke wa mtu kimoyomoyo lakini ni kosa kwa vitendo.
kwanza your still minor to get into marriage thats why i warned my client mamdenyi before.
sasa umekuja na story umemuacha mteja wangu eti una mtaka mke wa mtu, kwa hili nitakusamehe because you need psycological help.
kwanza huwezi kumuacha mtu ambaye hajawai kuwa mkeo
Na talaka haitolewi kwa maneno bali kwa taratibu tena za kisheria baada njia ya mazungumzo kushindikana.
sitambui kisheria kama ulikuwa mme wa mteja wangu sababu your still minor.