Baada ya siku za Bush tunaomba kujua gharama yote kwa ugeni huu ndugu JK

Mitomingi

Senior Member
Jan 15, 2008
130
0
Nimelazimika kuandika kidogo hapa kusikia wenzangu mnajua nini juu ya aina hizi ya Ziara za Marais kamam Bush kwenye Nchi masikini .Hii Ziara mimi imeniacha gizani kwa kuambiwa ina faida kubwa sana kwa ujio wake .

Mimi ningalipenda kama faida itazidi gharama ambazo Tanzania itakuwa imeingia kwa kumpokeana kukaa naye siku kadhaa nyumbani .Walio wengi hata wazungu wenye mapesa huko Ulaya ziara za Bush Nchini mwao huwa wanazikwepa sana maana ni gharama na mzigo kwa Nchi zao muda wowote awapo kwao .Sisi rais wetu kasema ni faida kubwa kuja kwake na hata watu wameanza kuimbishwa faida hizo .Je mnaweza kunisaidia katika hili ?

Mwisho naomba Ikulu ama mambo ya nje tafadhali sana mtupatie matumizi ama jumla ya gharama baada ya safari ya G.W.Bush
 
Nimelazimika kuandika kidogo hapa kusikia wenzangu mnajua nini juu ya aina hizi ya Ziara za Marais kamam Bush kwenye Nchi masikini .Hii Ziara mimi imeniacha gizani kwa kuambiwa ina faida kubwa sana kwa ujio wake .

Mimi ningalipenda kama faida itazidi gharama ambazo Tanzania itakuwa imeingia kwa kumpokeana kukaa naye siku kadhaa nyumbani .Walio wengi hata wazungu wenye mapesa huko Ulaya ziara za Bush Nchini mwao huwa wanazikwepa sana maana ni gharama na mzigo kwa Nchi zao muda wowote awapo kwao .Sisi rais wetu kasema ni faida kubwa kuja kwake na hata watu wameanza kuimbishwa faida hizo .Je mnaweza kunisaidia katika hili ?

Mwisho naomba Ikulu ama mambo ya nje tafadhali sana mtupatie matumizi ama jumla ya gharama baada ya safari ya G.W.Bush

co.jpg
 
Nimelazimika kuandika kidogo hapa kusikia wenzangu mnajua nini juu ya aina hizi ya Ziara za Marais kamam Bush kwenye Nchi masikini .Hii Ziara mimi imeniacha gizani kwa kuambiwa ina faida kubwa sana kwa ujio wake .

Mimi ningalipenda kama faida itazidi gharama ambazo Tanzania itakuwa imeingia kwa kumpokeana kukaa naye siku kadhaa nyumbani .Walio wengi hata wazungu wenye mapesa huko Ulaya ziara za Bush Nchini mwao huwa wanazikwepa sana maana ni gharama na mzigo kwa Nchi zao muda wowote awapo kwao .Sisi rais wetu kasema ni faida kubwa kuja kwake na hata watu wameanza kuimbishwa faida hizo .Je mnaweza kunisaidia katika hili ?

Mwisho naomba Ikulu ama mambo ya nje tafadhali sana mtupatie matumizi ama jumla ya gharama baada ya safari ya G.W.Bush

Wewe Mitomingi mimi simfagilii Bushi, ila watu wameweka historia kwa kutoa dollar karibu Million mia saba ($ 700,000,000) kusaidia kuupiga vita umasikini na maradhi kama ukimwi kwa Tanzania halafu hata kuja kututembelea wewe unaona uchungu kuwa atachemshiwa chai? jamani jamani wa-Tanzania tumefika huku tayari? jamani sisi si wakarimu? mtu anayekusaidia ni lazima umpe kubwa?
 
Wewe Mitomingi mimi simfagilii Bushi, ila watu wameweka historia kwa kutoa dollar karibu Million mia saba ($ 700,000,000) kusaidia kuupiga vita umasikini na maradhi kama ukimwi kwa Tanzania halafu hata kuja kututembelea wewe unaona uchungu kuwa atachemshiwa chai? jamani jamani wa-Tanzania tumefika huku tayari? jamani sisi si wakarimu? mtu anayekusaidia ni lazima umpe kubwa?


Pedro
Ukisoma tenabandiko langu utajua kwamba mimi nataka kujua kama pesa walizo zitoa na gharama za kumweka Tanzania kama si sawa hii ni kutokana na historia ya marais wa Marekani kuwa ghali wakiwa nje za wenzao .Ndiyo maana nikahoji kwamba ni kweli itakuwa faida kama tunavyo ambiwa it is out of curiosity .
 
Back
Top Bottom