Baada ya Rombo kupandisha bendera ya Kenya Sasa Mbeya wajitangazia nchi na Rais wao!

anaweza akaleta utani wake mwisho nikamla kiboga, sasa sijui atakuja kusema MTM kamuingilia kinyume na maumbile au MTM alitumia masaburi yake wakati namla kufikiri au vipi

Tatizo watu wandhani hatuwezi hiyo lugha... na kusema ukweli asipoangalia ntamla tigo

Mkuu nitatafutie basi na mimi kibali cha kutukana, nyie ndio wadau wa JF
 
Suala nikiliangalia kwa namna moja nalipa 100% na nikiliangalia kivingine nalipa 0% (zero).
Kama ni namna ya kufikisha ujumbe nalipa 100% halitofautiani na lile bango alilovaa yule mtoto lililosomeka 'kama nch imekushinda nipe mimi' ila hapa Sugu atakuwa ametukanwa aombwe radhi.
Lakini kama wamemaanisha walichokiamua basi nawapa zero na hawa si wahuni ninawaheshimu sana wahuni katika political revolution bila hawa huwezi kuplan wala ku initiate chohote. Huwezi fanya mapinduzi na watoto wa 'masaki' mapinduzi ni kama mchezo Soka (Jasho na damu),pamoja na kupendwa na matajiri na masikini, wachezaji wake mahiri wengi hutokea familia duni au za kawaida sana.

Hivyo kama hili la pili ndiyo lengondiyo nasisitiza hawa si wahuni bali ni WAPUUZI na MAPUNGUANI, na wananikera zaidi kwasababi ya kuharibu maana ya mapinduzi, labda wamepandikizwa kuharibu movement.
Puppets and snitchers are everywhere..
 
Hii meseji hata kama haitafanikiwa but ni ishara tosha kua wananchi tumechoshwa na udhalimu wa hawa wazushi.
Kila mahali ni vilio vya vijana juu ya mambo yao mablimbali,
Wamachinga Vijana wanalia juu ya mustakabali wa maisha yao,
Wasomi Vijana wanalia nao juu ya Ada kubwa na ugumu wa kupata mikopo,
Wafanyakazi watarajiwa vijana (graduates) ndio kabisaa ajira hazipatikani,
But serikali inasahau kua Vijana ndio kundi kubwa katika jamii, "this is a timed bomb", iko siku kwa kweli!!!
 
Nilifikiri Bengazi yetu itakuwa Arusha lakini inaweza kuwa popote Hongera wana mbeya hakuna kulala hadi kieleweke
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom