Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
SULUHU NI KUWAUWA VIKOJOZI wanaokojolea vitabu vitakatifu....no more kuchokozana
Na suluhu ya kashfa ya mihadhara ya kashfa ni nini?
SULUHU NI KUWAUWA VIKOJOZI wanaokojolea vitabu vitakatifu....no more kuchokozana
Na suluhu ya kashfa ya mihadhara ya kashfa ni nini?
Kitabu kitakatifu kwa aliyekikojolea au kwa aliyekileta kikojolewe? Ni sahihi kuchukua kitu unachoamini kuwa ni kitakatifu nyumbani kwenu ukampelekea mtu asiyeamini katika utakatifu wa hicho kitabu akikojolee? Mimi naona mngeanza na huyu aliyetoa nyumbani kwao kitabu kinachoitwa kikatatifu kikakojolewe.
Nikukipiga marufuku kikundi cha kikristo kinachoitwa SIMBA ULANGA kinachokashifu uislam na mtume wake
Viongozi wa nchii hii wanapaswa kutafuta suluhu ya matatizo haya yanayosababisha maandamano na machafuko kwa kutafuta kiini hasa cha tatizo hili vinginevyo amani ya nchi yetu itakuwa tumeiweka rehani.
Kama kuna watu wanatumika na mataifa ya nje kuvuruga amani ni bora hatua za kuwadhibiti zichukuliwe mapema vinginevyo nchi yetu itageuka iran,afghanistan,iraq na kwingineko.
Usalama wa taifa hapa ndio wanajukumu kubwa na kama hili litakuwa gumu basi tutarajie muendelezo wa matukio kama haya siku za usoni.
Sectarian violence could cause civil war if it goes unchecked.
Bila shaka waliotoa kauli hii wanajutia matamshi yao.Kikwete ni Chaguo la Mungu.
Kitabu kitakatifu kwa aliyekikojolea au kwa aliyekileta kikojolewe? Ni sahihi kuchukua kitu unachoamini kuwa ni kitakatifu nyumbani kwenu ukampelekea mtu asiyeamini katika utakatifu wa hicho kitabu akikojolee? Mimi naona mngeanza na huyu aliyetoa nyumbani kwao kitabu kinachoitwa kikatatifu kikakojolewe.
Unataraji hii hali itawezekana wakati ni serikali nzima inatumiwa na mataifa makubwa kuwadhibiti raia wake waislamu.Na si Tanzania tu.Angalia Kenya,Mali na mbali zaidi.Viongozi wa nchii hii wanapaswa kutafuta suluhu ya matatizo haya yanayosababisha maandamano na machafuko kwa kutafuta kiini hasa cha tatizo hili vinginevyo amani ya nchi yetu itakuwa tumeiweka rehani.
Kama kuna watu wanatumika na mataifa ya nje kuvuruga amani ni bora hatua za kuwadhibiti zichukuliwe mapema vinginevyo nchi yetu itageuka iran,afghanistan,iraq na kwingineko.
Usalama wa taifa hapa ndio wanajukumu kubwa na kama hili litakuwa gumu basi tutarajie muendelezo wa matukio kama haya siku za usoni.
Sectarian violence could cause civil war if it goes unchecked.
SULUHU NI KUWAUWA VIKOJOZI wanaokojolea vitabu vitakatifu....no more kuchokozana
na zanzibar vinakojolewa vitabu,ni heri umfundishe mtu juu ya ubora wa imani yako kwa maisha unayoishi,lakini si kumtisha na nguvu za kitabu chako,amka ndugu yangu risasi,panga,jambia,kiwembe havichagui dini bali vinakula nyama yoyote.SULUHU NI KUWAUWA VIKOJOZI wanaokojolea vitabu vitakatifu....no more kuchokozana
Nimejiuliza sana kwenye hii point yako, lakini naona hamna aliyetilia maanani kabla. Sijui naye wamemuonya au ameachwa kama hero! Manake hachelewi kumpelekea mtoto mwingine tena!
Taarifa... yule mtoto kitabu hakukitoa nyumabni kwao, alikuwa anatoka madrasa kusoma na njiani akawakuta wenzie wanacheza mpira wa miguu nae akaanza kucheza kitabu ameweka pembeni, yule kijana aliyekojolea kitabu ni rafiki mkubwa wa kijana ambaye kitabu chake kimekojolewa. So katika utani wao wa kawaida tu ndipo yakazuka mabishano juu ya athari mtu anazoweza pata akikojolea kile kitabu, ili kuthibitisha hayo yule mwingine ndio akakikojolea na yakatokea yaliyotokea!
mkuu labda niongeze tu msisitizo kwa ulichoandika "SULUHU NI KUWAONDOLEA MBALI WANAOKOJOLEA KITABU KITAKATIFU.......no more kuchokozana"SULUHU NI KUWAUWA VIKOJOZI wanaokojolea vitabu vitakatifu....no more kuchokozana