Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,887
- 143,983
Viongozi wa nchii hii wanapaswa kutafuta suluhu ya matatizo haya yanayosababisha maandamano na machafuko kwa kutafuta kiini hasa cha tatizo hili vinginevyo amani ya nchi yetu itakuwa tumeiweka rehani.
Kama kuna watu wanatumika na mataifa ya nje kuvuruga amani ni bora hatua za kuwadhibiti zichukuliwe mapema vinginevyo nchi yetu itageuka iran,afghanistan,iraq na kwingineko.
Usalama wa taifa hapa ndio wanajukumu kubwa na kama hili litakuwa gumu basi tutarajie muendelezo wa matukio kama haya siku za usoni.
Sectarian violence could cause civil war if it goes unchecked.
Kama kuna watu wanatumika na mataifa ya nje kuvuruga amani ni bora hatua za kuwadhibiti zichukuliwe mapema vinginevyo nchi yetu itageuka iran,afghanistan,iraq na kwingineko.
Usalama wa taifa hapa ndio wanajukumu kubwa na kama hili litakuwa gumu basi tutarajie muendelezo wa matukio kama haya siku za usoni.
Sectarian violence could cause civil war if it goes unchecked.