Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Kilichotokea kenya si lazima kitokee tz nani alikwambia tunataka kuiga kenya? Kenya ni kenya na tzt ni tz hatunahaja ya kuwaiga watu! Wewe kazi yako kuiga kama cmcm ni wataalami wa kukopy sera za nchi nyingine halafu hawawezi kizitekeleza. Hebu niambie ni sera gani mbovu katika serikali yetu? Lakini ni ipi imeweza kutekelezwa kwa votendo? Acha mawazo ya kudesa ndugu yangu tanznia ina watu wazuri lakini wamebanwa na mafisadi wasifanye chochote. Unataka kumlinganisha kibaki na Dr. Slaa? Wakenya ni majambazi tu hayana utu wowote huwezi kuwalinganisha na busara za watanzania. Tunamwamini dr slaa maana we feel what he talks to us. Je ulishawahi kuguswa na hotuba yoyote ya mkwere toka aingie urais? Kama ni ndiyo basi wewe ni zero kama jina lako
Katiba mpya inawabadilisha, haijalishi awe ni nani kwa katiba hii mya wamesalimu amri. Walioibia serikali enzi hizo yanawarudi. Wenye maekta ya aridhi matumbo moto. Walioiba mabenki na NGO'S wanamsubiri Lumumba awapeleke court. Mawaziri wanajiudhuru ovyo, shauri ya kashfa za ufisadi. Hapa kwetu mafisadi wanaendesha serikali. Katiba mpya tuu ndilo jibu letu. Tuidai kwa nguvu zote!!!!!!!!!!!