Elections 2010 Baada ya NEC kumtawaza Dr. Slaa, Obama kumshinikiza JK kuachia ngazi.....

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,468
911,172
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...

Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.

Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................
 
kwa utafiti wangu nimebaini marekani inazo taarifa ya kuwa jk yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini obama tayari amejiandaa kumshinikiza jk kuachia ngazi mara tu nec itakapomtawaza dr. Slaa kuwa raisi wetu wa tano...

Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu jk katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.

Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................

kaka naomba namba ya obama ninashida nae nadhani atakuwa mtu wako wa karibu sana plz pm namba yake.
 
Rafiki hii spidi unayoendelea nayo itabidi tukuweke kwene ignore list kama Malaria Sugu.
 
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...

Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.

Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................

Uzandiki na uchochezi kama huu ndio unatufanya baadhi yetu tuunge mkono kauli ya Jeshi la wananchi wa Tanzania kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kwamba atakayeleta fujo baada ya uchaguzi atashughulikiwa vilivyo.

haiingii akilini kutoa kauli kama hizi kabla ya kupiga kura kwamba tuamini kuwa Dr slaa ni lazima ashinde. hata wamarekani na demokrasia yao hawawezi kufanya hivyo kabla ya maamuzi ya wananchi juu ya nani wanamtaka kuwa kiongozi wao.

Demokrasia si kuharibu au kuingilia mchakato. Wanachoweza kusema wamarekani hadi sasa ni kutushauri kuendesha uchaguzi huru na haki na kwamba watakuwa tayari kushirikiana na kiongozi yeyote atakayechaguliwa bila kutaja jina la mgombea yeyote wala chama anachotoka.
 
Wakati mwingine udaki kama huu unaweza kuharibu mambo badala ya kufikiri utamsaidia mgombea wako. Nani kasema Marekani iko juu ya maamuzi ya wapiga kura wa Tanzania? Wakati huu ni wa kuomba kwa Mungu (sio kuomba kwa Marekani) uchaguzi uwe huru na haki bila vurugu wala ghasia.
 
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...

Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.

Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................

Yes the Americans have no permanent friends or enemies can always change.
 
Wakati mwingine udaki kama huu unaweza kuharibu mambo badala ya kufikiri utamsaidia mgombea wako. Nani kasema Marekani iko juu ya maamuzi ya wapiga kura wa Tanzania? Wakati huu ni wa kuomba kwa Mungu (sio kuomba kwa Marekani) uchaguzi uwe huru na haki bila vurugu wala ghasia.

Hamna uchochezi hapa .NI Tetesi tu na inawezekana ikwa hivyo. Tatizo ni kwamba ulikuja huku kutetea your dying CCM . Hujaona hata dalili kuwa mmshindwa?
 
Yamekuwa hayo, Yanamhusu nini Jaluo. Sina shaku huu ni udaku of the grossest kind! Pls get hold of your self!
 
Wakati mwingine udaki kama huu unaweza kuharibu mambo badala ya kufikiri utamsaidia mgombea wako. Nani kasema Marekani iko juu ya maamuzi ya wapiga kura wa Tanzania? Wakati huu ni wa kuomba kwa Mungu (sio kuomba kwa Marekani) uchaguzi uwe huru na haki bila vurugu wala ghasia.

Chama cha mafisadi kwa woga, jamaa kawatania kidogo tu mnahaha, ila lisemwalo...............
 
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...


Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.

Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................

Rutashubanyuma. Mbona kama umeanza kurudi nyuma vile! OTALISHUBANYUMA
 
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...

Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.

Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................

Mkuu umejuaje kama Obama amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi baada ya NEC kumtangaza as mshindi. JF ni balaa, tangu Rahm Emanuel aachie ngazi basi Obama amekuwa very accessible.
 
Back
Top Bottom