Kinyoo
Member
- Apr 2, 2012
- 26
- 7
Marubani wa kitanzania tena waliojisomesha kwa ela zao,kwa ada ya zaidi ya millioni 60 kila mmoja,
Wanamlilia Waziri kupitisha fagio la chuma TCAA,kwa vile viongozi wa taasisi hiyo kwa sasa wameshikiliwa na
Small airline operators.Watanzania wananyanyaswa kwenye ichi yao,tena wengine kwa ubaguzi wa rangi.Kupata kazi
Kwenye kampuni hizo ni kitu kisichowezekena,na wanaajiri foreigners tena walio na qualification zile zile kama za watanzania.
Cha kushangaza TCAA ndio wanaotoa lesseni kwa wageni hao,kwa vile makampuni hayo yameishika TCAA pabaya.Wamefuta sheria baadhi za usalama wa anga,
Kama ndege zenye viti zaidi ya 9,inayofanya huduma za jamii,lazima irushwe na marubani 2.hii ingeongeza usalama zaidi na ajira kwa watanzania.
Maajabu makampuni haya yaliwahonga tcaa na kufuta sheria hiyo mwaka 2006.wenzetu kenya sheria hii ipo.Hata hapo Kenya tu,
Mtanzania huwezi pata kazi,hapa kwetu ndio wamejazana foreigners,na watanzania wakafilie mbali.Marubani wageni ni zaidi ya asilimia 85 ya marubani wote.
Tunamwomba Waziri wetu utusafishie njia kabla hujaamishwa wizara,waliopita wizara hii walikua hawana lolote la kutusaidia.
Mungu akubariki tupo Pamoja!
Wanamlilia Waziri kupitisha fagio la chuma TCAA,kwa vile viongozi wa taasisi hiyo kwa sasa wameshikiliwa na
Small airline operators.Watanzania wananyanyaswa kwenye ichi yao,tena wengine kwa ubaguzi wa rangi.Kupata kazi
Kwenye kampuni hizo ni kitu kisichowezekena,na wanaajiri foreigners tena walio na qualification zile zile kama za watanzania.
Cha kushangaza TCAA ndio wanaotoa lesseni kwa wageni hao,kwa vile makampuni hayo yameishika TCAA pabaya.Wamefuta sheria baadhi za usalama wa anga,
Kama ndege zenye viti zaidi ya 9,inayofanya huduma za jamii,lazima irushwe na marubani 2.hii ingeongeza usalama zaidi na ajira kwa watanzania.
Maajabu makampuni haya yaliwahonga tcaa na kufuta sheria hiyo mwaka 2006.wenzetu kenya sheria hii ipo.Hata hapo Kenya tu,
Mtanzania huwezi pata kazi,hapa kwetu ndio wamejazana foreigners,na watanzania wakafilie mbali.Marubani wageni ni zaidi ya asilimia 85 ya marubani wote.
Tunamwomba Waziri wetu utusafishie njia kabla hujaamishwa wizara,waliopita wizara hii walikua hawana lolote la kutusaidia.
Mungu akubariki tupo Pamoja!