Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Mara nyingi wanawake wakishayakologa ndani ya ndoa zao hutaka huruma za watu wa nje; wanaume ni wavumilivu bali wakichoka na kuanza visa, ndipo mwanamke anapoanza kuhaha. Hapa tunasikia upande mmoja wa mwanamke lakini tungesikia upande mwingine wa mwanaume huenda tungeungana na hao ndugu kumshauri kuoa mwanamke mwingine.