JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
:msela:Wananchi nchini misri wamechoshwa na ubabaishaji wa rais wao mubarak, ukosefuwa ajira, katiba chakachuzi kama hihi ya Tanzania. Je nani atafuata kutolewa madarakani kwa nguvu ya umma kutokana na kudharau kilio cha wananchi. KIKWETE-Tanzania, MUGABE-Zimbwabe, MUSEVENI-Uganda, au Gbagbo- ivory cost????:bump::msela: