Baada ya mubarak wa misri nani anafuata

JOHN MADIBA

JF-Expert Member
Jan 30, 2011
251
155
:msela:Wananchi nchini misri wamechoshwa na ubabaishaji wa rais wao mubarak, ukosefuwa ajira, katiba chakachuzi kama hihi ya Tanzania. Je nani atafuata kutolewa madarakani kwa nguvu ya umma kutokana na kudharau kilio cha wananchi. KIKWETE-Tanzania, MUGABE-Zimbwabe, MUSEVENI-Uganda, au Gbagbo- ivory cost????:bump::msela:
 
:msela:Wananchi nchini misri wamechoshwa na ubabaishaji wa rais wao mubarak, ukosefuwa ajira, katiba chakachuzi kama hii ya Tanzania. Je nani atafuata kutolewa madarakani kwa nguvu ya umma kutokana na kutosikia kilio cha wengi, mabadiliko, umaskini, uchakachuaji, ufisadi like DOWAN, KIKWETE-Tanzania, MUGABE-Zimbwabe, MUSEVENI-Uganda, au Gbagbo- ivory cost????:bump::msela:
 
JK anatamani Watz wasijue kinachotokea Misri lakini utandawazi unam'let down.
 
time will tell who is next to leave the white house by majority force, ila mi nilikuwa natamani hawa viongozi wetu wangesoma alama za nyakati ili wasije wakaaibika na ule wimbo wao wa kisiwa cha amani utakapoimbwa tofauti.watanzania wa sasa sio wale wa zamani sasa watu wanajua kila kinachotokea dunian kota, wawe macho/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom