Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
- Thread starter
- #21
Alikamatwa na madawa ya kulevya!Nihabarishe mtz alivunja sheria gani hadi ikamfika hiyo hukumu??
Alikamatwa na madawa ya kulevya!Nihabarishe mtz alivunja sheria gani hadi ikamfika hiyo hukumu??
Alikamatwa na madawa ya kulevya!
Alikamatwa na madawa ya kulevyaNihabarishe mtz alivunja sheria gani hadi ikamfika hiyo hukumu??
Kumbe china Nuksi nilitaka kuleta Mzigo,aku sitaki tena
unaakili we mtotoekerege apelekwe uchina!
Yericko Nyerere mbona inaonekana kama umefurahishwa sana na hizo hukumu za China.
na hawa wachina wanaotuletea bidhaa feki huku africa tuwahukumu nini ?
nawachukia sana drug dealers,,,kinondon wamejaaaa,,,,wanatamba kama wilaya yao hii,,,,,sijamsikia idi azan akizungumzia
Mkuu jamaa ashanyongwa, kule huchukui zaidi ya masaa 24 baada ya hukumu, hata hupewi nafasi ya kuaga ndugu!Kama anaitwa Le, hanyongwi na atatoroshwa huko gerezani,huo umafia hakufanya kwa faida yake binafsi,There are players behind! sure
Ingependeza sana!
utafuta kifo ni mzingo gani? hapa hakuna cha msalie mtume sheria ndio inaongea na wala sio wazifa au utajiri etc.Kumbe china Nuksi nilitaka kuleta Mzigo,aku sitaki tena
Mkuu China hawaamini sheria za kimataifa, wao huamini sheria zao kwanza kisha mengineyo!Hivi sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu kutoa hukumu kwa mtu mwenye uraia wa kigeni?