Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Hali ya usimamizi wa sheria mama ya pale uchina inasonga mbele, Baada ya mtz bwana Zuberi Musa kula kisu wiki mbili zilizopita, sasa ni zamu ya mchina Le yung Chen amehukumiwa kunyongwa, baada ya kukabidhiwa toka Canada alikokuwa akiendeshea shughuli za umafia na kumatwa,
Awali china ilisema haitamnyonga baada ya Canada kusita kumkabidhi, lakini alipotua Beijing sheria ya asili hakuikwepa kwani leo amehukumiwa rasmi kula kisu!
Awali china ilisema haitamnyonga baada ya Canada kusita kumkabidhi, lakini alipotua Beijing sheria ya asili hakuikwepa kwani leo amehukumiwa rasmi kula kisu!