Baada ya miaka 9 Sinta afunguka kuhusu Nature

Kwa msio mkubali JLo wa Bongo wivu tu....

_MG_1080.jpg
_MG_1319+%25282%2529.jpg
 
Inaniuma sana,nikifikiria huwaga ninalia, kufulia kuna kuja na mambo mengi.....!
 
JLO wa Bongo afunguka kuhusu bifu lake na Nature anataka kufanya kuwa dili la kutoa nae movie!!

attachment.php

Uharo......Hii nchi kwasasa inahitaji ukombozi,masuala ya Sinta na Nature sijui hayana mchango wowote kuondoa maumivu ya bibi yangu kule Same.....
 
Kashachezewa kaona hana soko ndo anataka arudi kwa nature,sinta nature ana mke,ujana wako ulikuwa na nani?? uzeeni ndo unataka kuja kwa nature,mademu mna range ndgo sana ya kutanua 18-24,ukivuka hapo na haujajipanga basi ntoleee
 
sinta kakosea kujiita JLO wa bongo, kwanini asjiite Christina Wa Bongo, au anahisi hatovuma???
 
Back
Top Bottom