Well my dear friend JK ...it is too late to catch the departed plane....just go home and have a piece of mind................it is a case of too little too late.
Hivi hata baada ya miaka mitano kupita bado Dk Salim A Salim anaandamwa! Dhambi hii hukumu yake itakuwa mbaya sana. Membe ni mnafiki na tena ni mdhaifu mno,kadanganywa na ahadi ya urais 2015. Kama amenukuliwa sawasawa,basi yeye ndo mchochezi wa hicho kinachoitwa udini,anajaribu kutafuta huruma kwa kuleta uchonganishi.U
Ingawa Membe alikanusha Tanzania haijafikia uamuzi wa kujiunga na OIC aliwataka viongozi hao kukubaliana na suala hilo kwa vile zipo faida nyingi ambazo nchi itapata na kutaja mojawapo kuwa jumuiya hiyo inazo fedha nyingi hivyo itawasaidia kutatua matatizo waliyonayo.
Membe alizitaza baadhi ya nchi akidai kuwa zimenufaika na OIC na kusisitiza kuwa kujiunga nayo hakuna masharti ya kuigeuza nchi kuwa ya Kiislamu bali ni kuwa na idadi ya waislamu wasiopungua asilimia 60.
Alikaririwa akidai kuwa serikali haina udini na kwamba kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi hakutaibadili nchi kuwa ya kidini na kubainisha kwamba katika utawala wa Kikwete amekuwa akipambana na ufisadi kinyume na inavyoelezwa na watu.
Kutokana na maelezo hayo ya Membe, kilifika kipindi cha viongozi hao kueleza ya kwao ambapo mchungaji mmoja alianza kuzungumza kwa kutumia msemo wa Biblia kuwa kauli anayoitoa Membe kumsemea Kikwete wakati huu wa uchaguzi ni sawa na ‘Sauti iliayo nyikani' na kutoboa kuwa Membe hakupaswa kuyaeleza yeye bali Kikwete.
"Hapa tunasikia sauti inalia nyikani, sasa hatumuoni mtu anayelia, wakristo tunataka kumsikia yeye mwenyewe na siyo kutuma mtu bali aseme yeye kwa kinywa chake hadharani kuwa Tanzania hakuna udini na nchi haitajiunga na OIC." alisema mchungaji mmoja akimueleza Membe.
HABARI za Uhakika ambazo nimepokea Punde kutoka kwa viongozi wa Dini jijini Mwanza ni kuwa Baada ya Bernaed Membe kujaribu kuzungumza na viongozi wa dini na madhehebu ya Kikristu na kushindwa kuwabadili, leo Usiku saa 5:00 Kikwete atakutana na viongozi hao kwa siri na kuwabembeleza kumchagua na kumpigia kampeni kwa waumini wao.
Eneo la kikao hicho mpaka sasa hawajaambiwa, lakini Utaratibu uliopangwa watakutana kwa makundi ambapo kundi la kwanza litakuwa ni;
1. Maaskofu tu
2. Wachungaji
Maendelea kukatuma Ka INZI kufuatilia kwa ukaribu zaidi na kujua jinsi ambavyo mzee atajitetea kwao kuomba wamchague na wakawaambie waumini wao.
Kwa taarifa yako maaskofu wengi hawapo kanda ya ziwa wako Mbeya leo wanaadhimisha jubilee ya askofu wa RC JIMBO LA mbeya misa ndo imekwisha sasa hivi.Wale wako bussy na mambo ya kichungaji wanaokoa kondoo wao.Hawadanganyiki
Mbona amechelewa kukutana nao, ibada c huwa inakuwa J'pili, sasa anategemea watakutana na waumini lini kabla ya uchaguzi? Ni vyema angekutana na wale wa Ijumaa manake ndio watapata muda wa kutafakari kwa kina...
ndio siasa mkuu.... punguza huzuniHakutaka kuwa Mgonjwa. kama umchagui iwe ni kwa kigezo cha kutofaa kuongoza, tuwe na STAHA kidogo mkuu.
Dah... huu ndio udini sasa!!! Keshamalizana na waislamu sasa ananunua wakristu
halafu analaani udini
Tutafanya zaidi... mkinipa rishaa yenu
Mkuu inawezekana vipi awe na peace of mind? Jana kuna mdau amesema alienda kwa Sheikh Yahya na kuondoka na furushi lisilojulikana, na sasa anataka kwenda kwa maaskofu na wachungaji, can 2 real work together in one persons mind? si rahisi naona itakuwa ni pieces of mind na sio Peace of mind.
Dah... huu ndio udini sasa!!! Keshamalizana na waislamu sasa ananunua wakristu
halafu analaani udini
Tutafanya zaidi... mkinipa rishaa yenu