Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Tofauti kati ya Rais wetu JK na viongozi wengi wa CCM,serikali na taasisi nyingine za serikali na umma wanatofautiana kwa majina matendo yao ni sawa ndiyo maana Rais JK alikua na kigugumizi kutoa maamuzi katika rushwa,ufujaji wa mali za umma na ufisadi.
Kwani kwa kufanya hivyo baada ya hapo tunahaki ya kuhoji uhalali wake kubakia katika kiti cha urais kwani ni yeye aliewateu na yeye ndiye amekua akiwalinda mbali na kelele nyingi za CHADEMA, wanaharakati na walalahoi .MH.RAIS NAWE UNAPASHWA KUJIPIMA NA KUTOA UAMUZI WA BUSARA KUACHIA NGAZI KABLA NAWE KUKULAZIMISHA KUFANYA HIVYO.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Kwani kwa kufanya hivyo baada ya hapo tunahaki ya kuhoji uhalali wake kubakia katika kiti cha urais kwani ni yeye aliewateu na yeye ndiye amekua akiwalinda mbali na kelele nyingi za CHADEMA, wanaharakati na walalahoi .MH.RAIS NAWE UNAPASHWA KUJIPIMA NA KUTOA UAMUZI WA BUSARA KUACHIA NGAZI KABLA NAWE KUKULAZIMISHA KUFANYA HIVYO.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.