Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Wao wanajidai ni "chama cha kitaifa" na siyo kama CDM ambayo si ya kitaifaNdoa ya mkeka imewaponza, watabakwa sana mwaka huu.
Wao wanajidai ni "chama cha kitaifa" na siyo kama CDM ambayo si ya kitaifaNdoa ya mkeka imewaponza, watabakwa sana mwaka huu.
mkuu nahisi una faili lako pale milembe hospitalUmeandika hii article bila ya uchambuzi wa ukweli. CUF ina mafanikio zaidi ktk vyama vya upinzani. Angalia Wabunge waliokuwa nao, na sasa hivi wanayr Makamu wa Rais.
Sasa huoni kama hiyo ni progress?
Umeandika hii article bila ya uchambuzi wa ukweli. CUF ina mafanikio zaidi ktk vyama vya upinzani. Angalia Wabunge waliokuwa nao, na sasa hivi wanayr Makamu wa Rais.
Sasa huoni kama hiyo ni progress?
Cuf, ilipojitangaza kipindi kile kuwa ni ngangari kilionyesha ni chama mbadala kinachoweza kusimamia utajiri wetu, kumbe walikuwa ngangari kwa tamaa, haikuwa na haja ya kukubali ndoa na ccm kisa watapata nafasi ya pili, matokeo ni kusababisha baraza kubwa la mawaziri na gharama kubwa katika uendeshaji wa zanzibar. Wale waliopigwa january 27 2001, wale wananchi walioandamana ili kutafuta haki na usawa damu iliyomwagika ni kwaajili ya seif apate umakamu na baadhi wapate uwaziri.
Hiki sio chama na hii yote ni kutokana na chama kuwa na sura ya kumuangalia mtu mmoja kwa matumaini, seif alisha sema kama ccm watanipa uenyekiti wa chama nipo tayari kurudi !, sasa prof lipumba anachokifanya cuf sikielewi anatakiwa asome alama za nyakati other wise atafulia kama mrema ila chdema tuna watu makini wengi na wenye uwezo zaidi na wanakubalika na wananchi wengi. Yaani 2015 ni raaaaaha