Baada ya likizo ya mwaka mmoja hatimaye...

Jeho

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
5,053
5,503
Chuo cha Udom kimerudisha baadhi ya wanafunzi waliofukuzwa takribani mwaka mzima sasa. Mpaka sasa wanafunzi waliorudishwa ni 268 ambao wanatarajiwa kuripoti chuoni kati ya trh 2-3 mwezi wa sita. Sasa sijui majina ndo yamekamilika au bado maana waliorudishwa ni wachache kuliko idadi ya wanafunzi waliofukuzwa.
 
Back
Top Bottom