mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
hiyo ni coincidence tuu..hiyo mikutano ilikua imeshapangwa well in advance...
hii ndio picha inayotaka kuoneshwa arusha.kwamba Lema alikuwa akihamasisha vurugu mjini arusha.ni kweli kabisa utakuwa mpuuzi kuleta mkutano wenye wageni ambao baadaye wataingia mtaani katika mji ambao kila kukicha watu wanajali maandamano na fujo siyo hilo tu hata watalii ambao walikuwa wanalala arusha sasa hawana mpango huo,sasa ni nairobi ama watokako wanaingia katika ndege bomba katika hifadhi za taifa lakini hapa nani muathirika kila mkazi wa arusha kuanzia yule anayeuza nyanya mpaka matunda kwani bei imeanguka na soko hakuna
sredi ihamishiwe jokes forum
kuna minong'ono inaendelea huku mjini arusha kuwa baada ya Godbless Lema kuvuliwa ubunge wa arusha mjini,mji huu umeanza kupata mikutano ya kimataifa ambayo ilikuwa adimu wakati wa ubunge wa Lema.
ni kweli,lakini hufikirii kama hini njiia ya kumuandalia sera mgombea wa ccm?ninavyojua mimi ni kwamba hadi sasa ccm haina mgombea wa kiti cha ubunge Arusha mjini! Thats all!
mkuu,kuna sehemu nimesema Lema kazuia mikutano?
Mikutano ya kimataifa haito kama uyoga, inapangwa well in advance. Lema kaenguliwa ubunge hivi karibu na kwa vyovyote vile hii mikutano ilikuwa imepangwa regardless. Na kwa maoni yangu vurugu za Arusha zimeletwa na Jeshi la polisi na sio raia wala mbunge wa CHADEMA.
taarifa nilizonazo ni kwamba mheshimiwa sitta amepigania sana ili mkutano wa juzi wa mawaziri wa EAC ufanyike pale ngurdoto.Umeniboa kwani wewe huishi arusha kama sisi unakurupuka na kutengeneza uzushi. Tangu Lema achukue ubunge hakuna kilichobadilika arusha na hata ukienda kwenye statistics za watalii zinaonyesha watalii waliongezeka. Usipige majungu kwa sababu unazozijua wewe