Umasikini wetu unatokana na uongozi mbovu ndani ya seriakli yetu ulaji wa Rushwa,Wizi wa Mali ya umma, uvivu wetu , uzembe, na ufisadi hizo zote zinachangia tuwe masikini siku zote tusipo jihadhari tutapitwa na majirani zetu wote kimaendeleo.ni kweli hata mie nashindwa kuelewa kwa nini sisi maskini japokua tunakila kitu cha kutupa utajiri.
kazi kweli kweli.
''By all means Sir'' he must have said....like a dunderhead
Poor Tido! Hata body language yake inadhihirisha jambo .... woga!
''By all means Sir'' he must have said....like a dunderhead
Nadhani Tido aliambiwa kutia sahihi akiwa ameonyeshwa mtutu wa bunduki!
Hii document ina makosa mengi sana ya ki-uhandishi na inanipa tabu kama kweli ni yeye Directopr General aliyeweka sahihi!
Nashauri wadau hayo mazungumzo anayodai yafanyike atakayewakilisha alete huo waraka ambao Tido anadai tangazo letu halikukidhi.