Kudadeki
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 859
- 52
prepare your gun or spear cause the results will not be on your favor.
Tayarisheni hizo "gun or spear" lakini fanyeni mazoezi ya kupigwa virungu. Teh teh teh. Mtabaki hivi: :A S 13:
prepare your gun or spear cause the results will not be on your favor.
chanzo cha habari yako ni nini? Kama huna source huna haki ya kuandika!!! Kama wewe ni msomi utanielewa lakini kama wewe ni mfurukutwa au vinginevyoo ruksa!!!
chanzo cha habari yako ni nini? Kama huna source huna haki ya kuandika!!! Kama wewe ni msomi utanielewa lakini kama wewe ni mfurukutwa au vinginevyoo ruksa!!!
Niliwahi kuuliza hawa CCM wanategemea kura za nani ili washinde wakati wafanyakazi walipoambiwa kuwa kura zao mwenyekiti wao hazihitaji na sasa kwenye midahalo ambako wananchi wanataka kujua nini watafanyiwa hawataki kwenda sasa nani atawapigia kura za kushinda kwa kishindo?
Mungu Baba,mfufue Mwl.Nyerere aje leo atushauri nani tumnyime kura!
Aaah, kumbe bado upo?prepare your gun or spear cause the results will not be on your favor.
mimi ni mtetezi wa haki za watoto .nipeni data nimburuze kizimbani kabla ya 31 octjinsi ccm wanavyoendesha mikutano yao ya kampeni wanastahili more than kuzomewa. Kukusanya watoto wa primary ambao hata hawana umri wa kupiga kura!!! Means wao hawajui umuhimu wa elimu. Lol!
Mikutano imejaa ubabe, ulaghai, ufedhuli, unafki, wizi wa fedha za wtz (ufujaji) uongo, hila, point less na upupu mwingiiiii. Wamezomewa ila kwa mimi nikiwaona i am sure nitachemsha maji ya moto niwamwagie cause wanaboa sanaaaaaaaaa!!! Ole wao wapitie anga zangu..
acid, siku ile bukombe alipanda jukwaani, mgombea ubunge wa ccm , wakamzome, akapanda mwenyekiti akamkaribisha jk, jk akamwita yule mgombea ubunge, ili amkapenie tena, ndipo wananchi wakaaanza kumzomea huku wakionyesha ishara ya chadema.USHABIKI MWINNGINE UNAONDOA HATA MAANA YA HABARI
tulivyosoma kwenye vynazo husika (kama ni bukombe) ni kwamba walimwambia watampa kura za rais na diwani lakini si ubunge... sasa sielewi haya mengine yanatoka wapi
Jinsi CCM wanavyoendesha mikutano yao ya kampeni wanastahili more than kuzomewa. Kukusanya watoto wa primary ambao hata hawana umri wa kupiga kura!!! Means wao hawajui umuhimu wa elimu. Lol!
Mikutano imejaa ubabe, ulaghai, ufedhuli, unafki, wizi wa fedha za Wtz (ufujaji) uongo, hila, point less na upupu mwingiiiii. Wamezomewa ila kwa mimi nikiwaona I am sure nitachemsha maji ya moto niwamwagie cause wanaboa sanaaaaaaaaa!!! Ole wao wapitie anga zangu..
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu kwa Watanzania.