Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu kwa Watanzania.
Katika kulinda hadhi yake na pengine kutapatapa, Bwana JK alisikika akisema:
"Oktoba 31 kapigeni kura. Mchagueni yoyote munayemtaka. CCM itashinda kwa kishindo"
Wakati akiendelea kutetemeka jukwaani kwa kuaibishwa, baadhi ya Wananchi walikuwa wakiondoka kwenda kutafuta 'mkate' kwa ajili ya familia zao.
Katika kulinda hadhi yake na pengine kutapatapa, Bwana JK alisikika akisema:
"Oktoba 31 kapigeni kura. Mchagueni yoyote munayemtaka. CCM itashinda kwa kishindo"
Wakati akiendelea kutetemeka jukwaani kwa kuaibishwa, baadhi ya Wananchi walikuwa wakiondoka kwenda kutafuta 'mkate' kwa ajili ya familia zao.