Baada ya kutoswa, Sumaye sasa ateta na viongozi wa CHADEMA

Yeye kuhamia Chadema ni haki yake. Kuhan kwake kuna faida kubwa sana kwa chama anachohamia. Kuanza kuhama kwa kutskuws nduo mwanzo wa kumefuka kwa mwamba mkuu wa zamani zile. Kwa watu wa zamani zile wanajua ile " Kidumu chama cha Mapinduzi" kisha watu wote wanaitikia Kdumuuuu!
 
"Mimi singozi genge la watu wanaotafuta madaraka" Mbowe. Hiyo ni nukuu ya Kamanda Mbowe wakati wa hafla ya kuchangia M4C pale Serena Hotel.

Sumaye nia yake ni Urais na wala sio ukombozi wa mtanzania. Nitafurahi sana kama atahamia CDM si kwa ahadi ya kuwa Rais lakini kwa msukumo wa kulikomboa taifa hili.

CDM sasa si wakati wa kuzungumzia urais, ni wakati wa kujenga chama. Mimi ningemshauri abaki huko huko tu, asije akatuvuruga, rais atapatikana kutokana na mchango wake katika M4C.

CDM kimejenga utamaduni wa umaarufu wa chama na si mtu, tuendelee hivyo hivyo mpaka tutafika.
 
Sina hakika kama kweli wanaochangia humu ni wana chadema kama wanavyotaka tuamini, mtu anayekipenda chama chake hawezi kuja hapa na kusema eti sumaye hana mvuto, kama chadema inataka wenye mvuto si wangekuwa wanafanya mikutano yao na mamiss!

Mi naamini mtu yeyote anayeweza kuvutia hata watu kumi tu ndani ya chama huyo ni muhimu kwa chama muhimu ni kwamba asipewe madaraka makubwa kwa haraka..mi nna hofu kuna Uvccm wengi humu na mavzi ya chadema
 
oil chafu, okiona cha nini wenzako wanasema nitakipata lini.
 
Kila kitu kina wakati wake...his time to lower down his ego and rest has come. If he pursues that road to opposition, must expect the worse!

HE MUST EXPECT THE WORSE AKIENDA OPPOSITION.....?? WHO ARE YOU KWANI?? KWENDA ZAKO NA BROKEN ENGLISh.
NYIE CCM MNASHIDA SANA, KWANI ATAENDA OPPOSITION ILI KUGOMBEA POSTS?? AWEZA ATA KWENDA KUSHAURI HOW TO WIN AGAINST CCM.
 
Gazeti la mwananchi linaaminika mbali sana kuliko gazeti ka habari leo na kwa taarifa tu, wanaosoma habari leo ni ccm pekeee
 
HE MUST EXPECT THE WORSE AKIENDA OPPOSITION.....?? WHO ARE YOU KWANI?? KWENDA ZAKO NA BROKEN ENGLISh.
NYIE CCM MNASHIDA SANA, KWANI ATAENDA OPPOSITION ILI KUGOMBEA POSTS?? AWEZA ATA KWENDA KUSHAURI HOW TO WIN AGAINST CCM.
Teh teh teh...ndio nyinyi mlimtuma akasomee Urais Havard nini? His time is over...endeleeeni kubisha. Mtakuwa mnatusaidia kucheka mbele ya safari. Kwani ukikataliwa kuongoza dawa yake ni lazima uhame chama? CDM wanachukua kila aina ya drop out?
Mwisho kabisa, kiingereza changu kumbe kinaeleweka kama kile cha warusi na wachina. Sina sababu ya kufanana na waingereza kama mesage yangu imeweza kukufikia.
 
Sina hakika kama kweli wanaochangia humu ni wana chadema kama wanavyotaka tuamini, mtu anayekipenda chama chake hawezi kuja hapa na kusema eti sumaye hana mvuto, kama chadema inataka wenye mvuto si wangekuwa wanafanya mikutano yao na mamiss!
Mi naamini mtu yeyote anayeweza kuvutia hata watu kumi tu ndani ya chama huyo ni muhimu kwa chama muhimu ni kwamba asipewe madaraka makubwa kwa haraka..mi nna hofu kuna Uvccm wengi humu na mavzi ya chadema

Mkuu naomba tuheshimiane.
 
Sumaye kuhamia CDM ni kitu kimoja na kugombea uraisi kwa tiketi ya CDM ni kitu kingine tofauti
Je anajiunga CDM kwa vile anaipenda au anataka aitumie kama ngazi ya kutimiza ndoto yake kuingia Ikulu kwa sababu katemwa na CCM .
Huyu si yule aliyesema kuwa ukitaka biashara yako ikunyookee peperu bendera ya CCM hivi sasa anashindwa nini kuipeperusha ili mambo yamwendee mswano.
Nafikiri ameelewa unafiki wa CCM, mpango wa kumwengua ulisukwa na mkuu wa wa kaya kwa waliofuatilia mizengwe ya sakata zima la uchaguzi wa Hanang tangu awali zilionekana dalili za wazi kuwa kuna mtu anatkiwa kuenguliwa katika ramani ya siasa za TZ once and for all.
Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa CDM kuwapima kwa uangalifu wale wote wanaotemwa na CCM nakutaka kujiunga na chama chao vinginevyo inaweza ikawagharimu huko mbele ya safari.
 
Tatizo kubwa la Sumaye ni "struggle for power", na hili ni tatizo kwa viongozi wengi wa Africa, Asia na Latin America. Ndio maana mwisho wa maisha ya watu kama yeye huwa wa aibu.

Namshauri akae apumzike kama Warioba na Msuya walivyotulia. Na akumbuke nini kiliwatokea Dr. Salim na Malecela mara walipotaka kupewa dhamana ya kuongoza tena na tena! Asidhani ni yeye tu awezaye kuleta mabadiliko nchi hii, nchi itaendelea au isiendelee bila kujali yeye ni kiongozi au la, na asithubutu kulipa kisasi kwa mahasimu wake!

Ni ndoto sioni kama atawania madaraka kupitia CHADEMA,na kama ndio hivyo ataaguka sana.ni heri akae na CCM yake
 
Mkuu naomba tuheshimiane.

Tunaheshimiana mkuu lakini lakini ukweli utatufanya tuwe huru, mi nasema na kuamini katika fikra zangu, ukitizama hoja nyingi humu unaweza kudhani watu wanaipenda sana chadema lakini ukiangalia ushauri unaishia kushangaa tu, mtu anajiita mwanachadema lakini yuko busy kuharibu image ya viongozi wa chadema.
angalia paniki ya watu hao dhidi ya zitto juu ya m4c, hata walipoambiwa kasafiri kibunge hawataki kuelewa, karudi anapiga kazi za m4c karatu hakuna anayepongeza..unahisi ni nini?
mwanachadema anataka kushinda urais yuko busy kuwapónda watu wa kigoma mwingine anapónda wachaga, wengine wako busy wanaponda dini za wenzao nk..
Leo sumaye anazungumziwa kuhamia chadema wako busy kumponda wakati impact ya mtu kama huyu kama mwanachama ingesaidia sana chama hiki kwa watu wengine waliopo ccm bila hata vua gamba vaa gwanda..
na mwisho hivi unadhani ccm wangemtimua lowasa wangepata wanachama wangapi na kupoteza wangapi? Ukifikiria vizuri utajua kwanini wameshindwa kumtimua,..nimesema!
 
Flashback late 90's prime minister Fredrick Sumaye defends white paper on constituion review tooth and claw. Fast forward 2012 Sumaye anajuta kimya kimya kutokuwepo kipengele cha mgombea binafsi katika katiba ya Jamhuri.
I guess i was wrong
dont want to think about it
i am just so sick about it
What goes around comes around.
 
Back
Top Bottom