Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
- Thread starter
- #41
Nitafute nikupe zawadi yako maana nasema ukweli wangu wanataka nieleze maendeleo gani ya Ng'ambo wakati JK mwenyewe kila siku anakwenda ng'ambo na ameshindwa kutusaidia.......Hivi kwani mnakereka nini alivyosema ametoka ng'ambo?
Naona mmeshupalia hapo utafikiri nini?
Angesema ametoka mpwapwa anakuja dar najua msingemkomalia.
Muacheni jamani, hiyo ni sehemu ya maelezo yake na naona imekuwa muhimu ndio maana tumekazia macho hapo.
Ni mtazamo wangu tu, atakayekwazika basi.