nackia m2 akikaa mda mrefu bila ku do anakua bikra.kwa hiyo we bikra?! ....ukishuka airport pitia buguruni baa moja inaitwa kimboka utapata ful maujuz
Ni zaidi ya mwaka sasa nilikuwa Nchi za watu hakika nilikuwa katika wakati mgumu sana kila nilipojaribu wenyeji wa huku kweli walikuwa ni wachoyo kupita kiasi na hata mimi niliogopa sana hata kupoteza kichwa changu maana hawa jamaa wakijua unamahusiano na Dada zao huwa wanakuwa na wivu kiasi waweza hata kukudhuru.
Sasa nategemea kurudi Tanzania kesho najiuliza nitaanzaje maana naona kama nimesahau vile ? Je nifanye nini ili niweze kwenda sambamba na uchakachuaji siku hiyo? hakika najiuliza maswali mengi nakosa jibu kama mnakumbuka nilishauliza kuna madhara yoyote yale naweza kupata kama sito fanya mapenzi zaidi ya mwaka?
Naomba ushauri wako mwana JF najua unaweza kunishauri vizuri ili nisije jikuta nipo matatizoni naweza kukurupuka nikajikuta naumbuka au hata kupata magonjwa kwa usongo nilionao.
Nawasilisha kwenu
Wabongo nao siku hizi wachoyo..pitia Zimbabwe hapa one time nikufanyie mchakato..
Ni zaidi ya mwaka sasa nilikuwa Nchi za watu hakika nilikuwa katika wakati mgumu sana kila nilipojaribu wenyeji wa huku kweli walikuwa ni wachoyo kupita kiasi na hata mimi niliogopa sana hata kupoteza kichwa changu maana hawa jamaa wakijua unamahusiano na Dada zao huwa wanakuwa na wivu kiasi waweza hata kukudhuru.
Sasa nategemea kurudi Tanzania kesho najiuliza nitaanzaje maana naona kama nimesahau vile ? Je nifanye nini ili niweze kwenda sambamba na uchakachuaji siku hiyo? hakika najiuliza maswali mengi nakosa jibu kama mnakumbuka nilishauliza kuna madhara yoyote yale naweza kupata kama sito fanya mapenzi zaidi ya mwaka?
Naomba ushauri wako mwana JF najua unaweza kunishauri vizuri ili nisije jikuta nipo matatizoni naweza kukurupuka nikajikuta naumbuka au hata kupata magonjwa kwa usongo nilionao.
Nawasilisha kwenu
Post yako imejaa ulimbukeni na ushamba.Hata kwenye jukwaa la mapenzi kuna maana ya kuongea siyo hili. Unatuuliza utaanzaje kuchakachua hivi wewe na ukubwa wote huo unaweza kutuambia hujui? au ndiyo nyie mnaojifanya mmesahau hata lugha yenu. Mimi nilichoona kwenye post yako ni mashauzi tu ya kuwa ulikaa somewhere nje ya TZ for just a year, sijui unatutangazia au tujue. Miafrika ndivyo tulivyo' hata ukikutana nayo kwenye nchi za wenzetu tutatambuana kwa ushamba. inaboa
afadhali. Wanahitajika mavolunteers kama nyie.
Post yako imejaa ulimbukeni na ushamba.Hata kwenye jukwaa la mapenzi kuna maana ya kuongea siyo hili. Unatuuliza utaanzaje kuchakachua hivi wewe na ukubwa wote huo unaweza kutuambia hujui? au ndiyo nyie mnaojifanya mmesahau hata lugha yenu. Mimi nilichoona kwenye post yako ni mashauzi tu ya kuwa ulikaa somewhere nje ya TZ for just a year, sijui unatutangazia au tujue. Miafrika ndivyo tulivyo' hata ukikutana nayo kwenye nchi za wenzetu tutatambuana kwa ushamba. inaboa
bora ukae hivo hivo manake utapokelewa na ngoma na kuibiwa kilakitu chako hadi passport ndugu. Mtumaini Mungu alokulinda...waza maendeleo sio uwaze ngono we wawapi wewe????? nlidhani utasema umekuja na pesa tukushauri wapi ukanunue kiwanja ujenge kibadna au kuongeza we unadai utapata wapi ngono? kweli we ni nyau kabisa.
Karibu Tanzania yetu baba. Karibu nitakupokea vizuri tu. Ulete mazawadi kibao, halafu kuna kiwanja kinauzwa pale Goba nitakupeleka ukakione.
Nilikuwa na mpango wa kufungua duka, nashukuru kwa sababu utanisaidia.
Mengine tutaongea zaidi, hebu soma hio PM iliokutumia.
Hivi kwani mnakereka nini alivyosema ametoka ng'ambo?
Naona mmeshupalia hapo utafikiri nini?
Angesema ametoka mpwapwa anakuja dar najua msingemkomalia.
Muacheni jamani, hiyo ni sehemu ya maelezo yake na naona imekuwa muhimu ndio maana tumekazia macho hapo.
Ni mtazamo wangu tu, atakayekwazika basi.
ni pale kimboka bynight? Dah! We humtakii mema huyu ndugu. Zipu ujio wako umekaa kingono ngono kwani hakuna mengine ya maana unayoweza kufanya Tz uliyojifunza huko?
Kwa mimi kutoka ng'ambo co issue, bt the issue ana nini kipya cha kujifunza toka ng'ambo kama sehemu ya maendeleo cz wenzetu kidogo wamesogea mbele? Post yake inaonesha kazama kingono zaidi na ulimbukeni wa namna hyo.
Angesema katoka ng'ambo afu anataka kuanzisha project 1 bt kakwama mahara furani na anahitaji mawazo toka kwa wana JF ungeona watu wamemsifia.
Ni mtazamo tu huo!
Ni zaidi ya mwaka sasa nilikuwa Nchi za watu hakika nilikuwa katika wakati mgumu sana kila nilipojaribu wenyeji wa huku kweli walikuwa ni wachoyo kupita kiasi na hata mimi niliogopa sana hata kupoteza kichwa changu maana hawa jamaa wakijua unamahusiano na Dada zao huwa wanakuwa na wivu kiasi waweza hata kukudhuru.
Sasa nategemea kurudi Tanzania kesho najiuliza nitaanzaje maana naona kama nimesahau vile ? Je nifanye nini ili niweze kwenda sambamba na uchakachuaji siku hiyo? hakika najiuliza maswali mengi nakosa jibu kama mnakumbuka nilishauliza kuna madhara yoyote yale naweza kupata kama sito fanya mapenzi zaidi ya mwaka?
Naomba ushauri wako mwana JF najua unaweza kunishauri vizuri ili nisije jikuta nipo matatizoni naweza kukurupuka nikajikuta naumbuka au hata kupata magonjwa kwa usongo nilionao.
Nawasilisha kwenu
Karibu Tanzania yetu baba. Karibu nitakupokea vizuri tu. Ulete mazawadi kibao, halafu kuna kiwanja kinauzwa pale Goba nitakupeleka ukakione.
Nilikuwa na mpango wa kufungua duka, nashukuru kwa sababu utanisaidia.
Mengine tutaongea zaidi, hebu soma hio PM iliokutumia.