Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Taarifa ya habari jana, nimeona wanasema ati mawaziri wa Kenya na Uganda wametoa proposal kuwa ati mipaka iliyoko ziwa victoria ifutwe ili nchi hizi tatu zitumie hilo ziwa bila mipaka yoyote. yaani, wakenya wawe na ruhusa ya kuvua toka kisumu hadi bukoba hadi uganda jinja bila matatizo, hivyohivyo na kwa watz na waganda wavue popote pale ndani ya ziwa bila mipaka yoyote ile. nilishangaa, na ninaomba mtu mwenye data kamili hapa atuambie kwasababu naona kama ni ndoto.
Baada ya wakenya kuvua visamaki vyao kule karibia na migingo kwenye kisehemu kidogo sana cha ziwa victoria wanachomiliki, wamemaliza kwa uvuvi haramu na wanataka sasa waje wavue na huku kwetu. patakalika kweli? au mnaonaje jamani tuwamegee kaeneo kengine ka ziwa ili sehemu yao ya ziwa at least iwe kubwa kidogo, kwasababu wanamiliki only 6% of the entire lake, kitu ambacho ni kidogo sana, ni sawa tu na hawamiliki. nawakilisha wajameni.
Baada ya wakenya kuvua visamaki vyao kule karibia na migingo kwenye kisehemu kidogo sana cha ziwa victoria wanachomiliki, wamemaliza kwa uvuvi haramu na wanataka sasa waje wavue na huku kwetu. patakalika kweli? au mnaonaje jamani tuwamegee kaeneo kengine ka ziwa ili sehemu yao ya ziwa at least iwe kubwa kidogo, kwasababu wanamiliki only 6% of the entire lake, kitu ambacho ni kidogo sana, ni sawa tu na hawamiliki. nawakilisha wajameni.