Kwani utawala wa sultan ulikuwa na tatizo gani ? Au kwa sababu ulikuwa wa kifalme ? Mbona UK,Qatar,Sweden,Oman,SAUDIA ARABIA,Bahrain,na nchi nyengine watao watawala wa kifalme na nchi zao zimeendelea na hakuna tatizo lolote ?Jamani hizi habari tulishazungumzia sana humu... Zanzibar ya mwaka 1963 haina tofauti na Rhodesia ya Ian Smith na unaweza kuandika lolote jema kuhusiana a na Smith kama wewe ni Kaburu.
Zanzibar vile vile hakuna anayekataa Uhuru wao bandia wa kumrudisha Sultan madarakani na hakika Zanzibar iliekuwa mbele sana wakati wa Sultan kuliko leo, hii haina maana turudishe utawala wa Sultan bali tunaweza kufuata mipango ya maendeleo ya Sultan ktk kuboresha maisha ya wananchi.
Tumeshafanya za kutosha,na ndio maana sasa tumetulia,sasa tunaenda hatua kwa hatua,ila bado activities tutaendelea kufanya ikishindikana kutumia sheria,na vyombo vya sheria kuda dola ya zanzbar.wazenji kelele nyingi.. initiative hamfanyi....
Tumeshafanya za kutosha,na ndio maana sasa tumetulia,sasa tunaenda hatua kwa hatua,ila bado activities tutaendelea kufanya ikishindikana kutumia sheria,na vyombo vya sheria kuda dola ya zanzbar.
Mmoja ataka uvunjike, mwingine kura ya maoni Spika wa Bunge, Anne Makindasijui tuite ni unafiki au nini! tungependa kusikia siku moja kuwa baraza la wawakilishi la zanzibar limetoa tamko/azimio kuwa zanzibar hawataki muungano ndipo tutakapojua kweli wazenj wapo serious na sio vitamko vya mtu mmoja mmoja! serikali mnayo, baraza la wawakilishi mnalo na ndo wawakilishi wa wananchi, kwa nini msitumie vyombo hivyo kutoa tamko la kutaka zanzibar kujitoa kwenye muungano? tunataka mfanye hivyo halafu tuone reaction ya serikali ya muungano then tujadili/tuone matokeo yake. Acheni kelele, chukueni hatua, hizo kelele zenu huwa nazifananisha na mtu anaetoa ushuzi wenye harufu kali inayokera lakini baada ya muda harufu hupotea halafu anatoa ushuzi tena ambao utapoa and so on, ndivyo mlivyo kila mara kelele kelele lawama lawama halafu kimya then mnaanza tena kero zenu lakini hamtaki kuchukua hatua madhubuti, acheni kulalamika utadhani nchi yenu imechukuliwa ikafichwa mahali fulani halafu alieficha hataki kuwaonesha! nchi mnayo wenyewe serikali mnayo wananchi wapo rasilmali mnasema mnazo sasa tatizo ni nini? eti tatizo Tanganyika/muungano! na tabia yenu ya kusema serikali ya muungano inawanyanyasa waislamu wa zanzibar tunaomba ikome,msitake kutuchonganisha watanganyika kwa misingi ya kidini, mtakapojitenga muondoke na kubaki na matatizo yenu, matatizo yetu tutatafuta njia ya kuyatatua. stop pestering us, we are sick and tired of your confusing complains!
.
Tumeshafanya za kutosha,na ndio maana sasa tumetulia,sasa tunaenda hatua kwa hatua,ila bado activities tutaendelea kufanya ikishindikana kutumia sheria,na vyombo vya sheria kuda dola ya zanzbar.