Baada ya kupata mtoto no swaga,pozi,promo,kimyaaaa...chezea kulea?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Jul 21, 2015
2,567
416
wakuu kuna huyu best yetu kabla hawajapata kid walisumbua sana na manzi wake wa pande za kuleee,walikula bata,kuku ,swaga kibao, mara pati kibao pande za mount kibo, ilikua ni shidaaa mazee, but baada ya kupata kid, life changes no more swaga,pozi, hakuna cha pati tena pale nanii kibo na mawenzi, wako bize wanalea, chezea majukumu weye? utaumia mazee
 
We sema tu unaugulia maumivu maana ulikuwa unaenda nao kwenye party. Sasa we unataka wakaparty wamuache mtoto nyumbani? Au unataka baba aende amuache mama peke yake?

Too stupid
 
roho ilikuwa inakuuma nawe ungefuga bata uchinje. maisha ya watu hayo hadi umejua wanakula nini sahiv mwandishi wakujitegemea
 
Back
Top Bottom