Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 335
Bw. Ngeleja akiwa waziri alitamani na aliamini kila mtu ni lazima amtambuwe kuwa yeye ndiye Waziri hata pale anapokiuka taratibu za kazi kwa tasisi zingine. Kumbukeni alivyosababisha kumfukuzisha kazi mlizi wa benki moja aliyemwambia hairuhusiwi kuongea na simu kwenye ATM.