Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Kwenye red: nini tofauti kati ya National Assembly na Parliament? Tuwe tunasoma na kuelewa kwanza kabla ya kukosoa hoja ya mtu. Parliament kikao akiwemo na Rais na national assembly kikao bila Rais. Soma ibara ya 62 (1) na 63 (1) ya katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania (toleo la 2005).
akiwepo rais ni nani anakuwa kiongozi wa bunge kwa wakati huo?
Nafahamu kuna wakati bunge hukaa kama kamati ambapo kiongozi wake anakuwa termed kama m/kiti. Je rais anaweza kuwa kiongozi wa bunge kwa namna yoyote?