Huyo demu ana jamaa yake mwingine ambaye anampenda lkn anamsaliti kwa kulalwa na huyo mshikaji wako. Kila anapomaliza kumegwa anamkumbuka jamaa yake na kukumbuka magumu yote waliyopitia pamoja then anaanza kulia.
dawa yake ni kumtia makofi ili alie kwa sababu chanya
anashindwa kuomba hela baada ya game, so anajaribu kumsomesha jamaa kwa njia ya ishara but it seems jamaa haelewi... mwambie kila akimmega awe anampa hela, sio amchamfua bure
Mh! Mm nahc jamaa mwnyewe n huyu aliyeuliza hli swl wala c mwngne,awe mkwl tu!
, huyo ni mwizi. Hata maji ya kunywa usimpekuna rafiki yangu anatafuta ushauri kwa nini mpenziwe wakimaliza kufanya mapenzi anaanza kulia saana halafu akiulizwa amekuwa hasemi nini kinamliza!!
Mkuu, hapa ndo umeandika nini sasa??