Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi...

Usijali mkuu. Nitakupm ili tuwasiliame. Tena kwa yeyote atayetaka mitiki nitamuunganishia miche Kwa sh 300 Kwa mche. Kipindi kipindi Cha kupanda mitiki ni kipindi Cha mvua.
Haleluya mteule u nailed it!Nimecheka sana kujikombakomba hahhaha.naomba nipm na mimi pl if you dont mind.
Ahsante kwa kushare .
 
Mkuu na


Mkuu na wewe unaonekana ni mjanja fulani wa mjini tu, picha toka ulipoanzisha uzi mwaka 2013 mpaka leo hujawahi kutoa picha nyingine yoyote ya maendeleo ya mradi, siku hizi mambo ni marahisi sana kupiga picha na kuupload wangalau haichukui hata dk 10. Sasa wewe miaka miwili huna picha kuonyesha nini kinaendelea kwenye hiyo project!!? Inawezekana hiyo project sio yako labda ilikuwa ni ya jamaa yako hiyo siku uliyofika ndio ukapiga picha na kuleta post nzuri ya ujasiriamali. Basi hata kama sio ya kwako muombe huyo rafiki yako uturushie tuone amefikia wapi.

Nilichojifunza kwenye mambo ya ujasiriamali ni wakati unapoamua ama kuanza unapata darasa moja lenye kukuonyesha mafanikio tu, hivyo unakuwa na matarajio makubwa sana kiasi kwamba yale matarajio ndio unaanza kuhadithia watu lakini unapokuja kwenye uhalisia ndio inakuwa kinyume, matokeo yake hata kutoa taarifa kamili inakuwa ngumu. Kwa kweli kwa sisi tulioingia kwenye ujasiriamali tumejifunza mengi na tumeendelea kubaki kwa kuwa ni wito lakini kiukweli kuna maslahi duni. Kama mmewahi kufuatilia post zangu nyingi humu jukwaani huwa ninalalamika sana suala la maslahi duni kwenye mazao yetu. Miaka nenda rudi unakuta bei ya mazao ama mifugo haipandi lakini bidhaa nyingine kama za viwandani zinapanda kila wakati. Mfano mrahisi, bei ya kuku utakuta ni 8,000-15,000@. Lakini gharama ya mpaka umuuze haipungui sh 10,000-13,000. Bei ya mbogamboga haipandi kamwe lakini bei ya pembejeo za kilimo zinapanda mara kwa mara. Hali hii inawafanya wakulima na wafugaji kubaki hohehahe. Leo hii ni nadra mkulima kupata mkopo wenye maana kwani hata mabenki yameshaona wakulima huwa wanashindwa sana kurudisha mikopo. Nimekuwa nikipiga kelele sana kuhusu viongozi wetu kukalia kimya suala la uuzaji mazao kwa njia ya rumbesa, lakini wapi hawajali maana wao wako maofisini wanasaini hela kwa kutumia receipt fake. Kwa hiyo sishangai mleta mada kukutana na hali hii mpaka kuingia mitini.
Nimekupata. Mungu akubariki sana. Hata hivyo umezungumzia assumptions mbili. Moja mradi sio wangu hivyo nilienda siku moja tu kupiga picha. Naomba nikuhakikishie kwamba mradi ni wangu na mimi ndiyo mmiliki halali wa mradi huo ambao picha zake zimewekwa hapo. Naomba ufahamu kuwa hapa tofautisha JF na whatsap au Fb. Hapa informations za mtu zinakuwa secret vinginevyo mtu mwenyewe aamue kutoa nje. Nilijitahidi kwa uwezo wangu kuwapa mwanga vijana kwa kuweka mambo wazi kuhusu mradi wangu. Nilisema anayetaka kujifunza karibu shambani kwangu Morogoro.

Pili naomba nikuhakikishie kuwa ujasiriamali unalipa ila upaswi kukurupuka. Fikiria tena na tena kabla hujaanzisha mradi. Fanya tafiti na uziprove. Tafuta mradi unaolipa. Usiigeige tu buni vya kwako hata ikitolea unaiga usifanye haraka haraka kama mchina paste and copy utakwama.

Mwisho karibu shambani kwangu.
 
Nimekupata. Mungu akubariki sana. Hata hivyo umezungumzia assumptions mbili. Moja mradi sio wangu hivyo nilienda siku moja tu kupiga picha. Naomba nikuhakikishie kwamba mradi ni wangu na mimi ndiyo mmiliki halali wa mradi huo ambao picha zake zimewekwa hapo. Naomba ufahamu kuwa hapa tofautisha JF na whatsap au Fb. Hapa informations za mtu zinakuwa secret vinginevyo mtu mwenyewe aamue kutoa nje. Nilijitahidi kwa uwezo wangu kuwapa mwanga vijana kwa kuweka mambo wazi kuhusu mradi wangu. Nilisema anayetaka kujifunza karibu shambani kwangu Morogoro.

Pili naomba nikuhakikishie kuwa ujasiriamali unalipa ila upaswi kukurupuka. Fikiria tena na tena kabla hujaanzisha mradi. Fanya tafiti na uziprove. Tafuta mradi unaolipa. Usiigeige tu buni vya kwako hata ikitolea unaiga usifanye haraka haraka kama mchina paste and copy utakwama.

Mwisho karibu shambani kwangu.

Kwanza hongera kwa kutokea na kujaribu kujibu mapigo. Tupia picha za sasa hivi, sio kila mtu anakaa Morogoro, wengine tuko mbali. Tunaweza kuona picha za mbali huko Australia nk itakuwa za hapo Moro ndugu yangu. Acha jazba, wewe toa picha za sasa hivi tuone maendeleo yalipofikia.
 
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 12 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku wanalipa sana. Ninaomba kukili kwamba miongoni mwa post ambayo serious nilihaidi kuifanyia kazi ni Anza hivi mpwa wangu. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii ya Anza hivi mpwa wangu. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba na kujengea tangi la maji chini. Ilichukua Muda wa miezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rahisi inakupasa uende vijijini ambako kuku huuzwa cheap. Hivyo nilisafiri hadi kijijini ambako nililinunua kuku 31 ambao ndiyo nimeanza nao.. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na miezi mitano. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.Kwa sasa nguruwe wangu wameshabeba mimba hivyo nategemea kuanza kuona mabanda yangu yakijaa vitoto vya nguruwe hivi punde.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.




kaka me binafsi nilikuwa na mpango wa kufuga hao nguruwe na kuku. coz nlimalza form 4 mwaka juzi tu. tangu utoton nina hobby na ufugaji. kwa tangu nilipomalza shule nilikuwa najichanga ili nije kuanza mladi kama huo.

naomba unisaidie namba zako ili nije kutembelea nijionee mwenyew kuliko kusikia ya watu tu. au kusoma tu kama hivi.
 
mkuu vipi.
mbona kimya sana. nilikuwa nataka kujua kuusu maendeleo yako. ikiwezekan nije kutembelea mradi wako. Mana na mm nilitaka kuanza ufugaji wa nguruwe
 
baraka za MWENYE ENZI MUNGU ziko na wewe! azidi kukuongezea ukawe mfano mzuri kwa next generation! ubarikiwe sana...
 
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 12 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku wanalipa sana. Ninaomba kukili kwamba miongoni mwa post ambayo serious nilihaidi kuifanyia kazi ni Anza hivi mpwa wangu. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii ya Anza hivi mpwa wangu. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba na kujengea tangi la maji chini. Ilichukua Muda wa miezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rahisi inakupasa uende vijijini ambako kuku huuzwa cheap. Hivyo nilisafiri hadi kijijini ambako nililinunua kuku 31 ambao ndiyo nimeanza nao.. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na miezi mitano. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.Kwa sasa nguruwe wangu wameshabeba mimba hivyo nategemea kuanza kuona mabanda yangu yakijaa vitoto vya nguruwe hivi punde.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.
Kaka plz naomba mawasiliano yako...sisi tuna kikundi ila ndio mwanza kichanga na ndio tunampango huo wa ufugajii...plz tungependa kuja kukutembelea kuja kujifunza kidogo toma kwako sisi tupo apa kihonda au nipigie kwa namba hii 0712 741466 ...wewe ni role modal wetu
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa kiubunifu wa hali ya juu ndiyo utakuwa mkomnozi wangu kiuchumi. Nimeanza Kwa kununua shamba lenye ukubwa wa hekari 12 nje kidogo ya mji wa Morogoro ( Kwamakunganya-majichumvu). Sehemu kubwa ya shamba langu nimepanda mitiki.

Baada ya kufatilia humu nikagundua kuwa mradi wa nguruwe na kuku wanalipa sana. Ninaomba kukili kwamba miongoni mwa post ambayo serious nilihaidi kuifanyia kazi ni Anza hivi mpwa wangu. Kwa kuwa imani yangu inaniruhusu nikaona ni laziima niifanya hii ya Anza hivi mpwa wangu. Hivyo nikaanza maandalizi ya kufuga nguruwe na kuku pia. Hivyo nilianza Kwa kuanzia kuchimba na kujengea tangi la maji chini. Ilichukua Muda wa miezi miwili tangu langu la maji kukamilika. Tangi langu la maji Lina uweze wa kujaza maji lita 30 elfu.

Baada ya hapo nikaanza maandalizi ya ujenzi wa banda la nguruwe na la kuku. Baada ya mabanda yangu kukamiliaka nilisafiri hadi singida kufata kuku. Bei ya kuku singida inalidhisha sana. Ili upate kuku wa bei rahisi inakupasa uende vijijini ambako kuku huuzwa cheap. Hivyo nilisafiri hadi kijijini ambako nililinunua kuku 31 ambao ndiyo nimeanza nao.. Kwa upande wa nguruwe nimeanza na 12 ambao niliwanunua wakiwa na miezi mitano. Pia nimeweka kanga na mbuzi Kwa ushauri wa marafiki.

Ninashukuru Mungu ninaanza kuwaona kuku wameanza kutaga Kwa fujo. Pia ninamshukuru Mungu Kwa kuwa ninaona ninaanza kuwa muajili pole pole. Pia ninamshukuru Mungu ninaona mawazo ya kunyanyasika( kuajiliwa) yanaanza kupotea taratibu.Kwa sasa nguruwe wangu wameshabeba mimba hivyo nategemea kuanza kuona mabanda yangu yakijaa vitoto vya nguruwe hivi punde.
Kupitia uzi wangu huu nitakuwa nawataarifu maendeleo ya mifugo yangu Kama sehemu ya kuwatia moyo wajasiriamali wenzangu. Morogoro ni sehemu ambayo wajasiriamali mnaweza kutimiza ndoto zenu Kwa kuwa Ardhi inapatikana Kwa bei nafuu na ni Karibu na Dar kwenye soko kubwa la bidhaa mbalimbali.
Kaka plz naomba mawasiliano yako...sisi tuna kikundi ila ndio mwanza kichanga na ndio tunampango huo wa ufugajii...plz tungependa kuja kukutembelea kuja kujifunza kidogo toma kwako sisi tupo apa kihonda au nipigie kwa namba hii 0712 741466 ...wewe ni role modal wetu
 
Mi nipo Dar ningependa Siku Moja Nije kwako tubadilishane mawazo Mawili matatu. Nimemaliza degree ya Kwanza ya kilimo. Naamini kilimo kitatukomboa vijana. Naomba Sana nitafute ndugu .0653212417 au 0764988935
 
Mkuu Eberhard, naomba nikutembelee huko Maji Chumvi, naomba nijifunze kutoka kwako ufugaji wa nguruwe. Nina Eneo hapo njovu ekari tano.
 
Mkuu unajua wapi naweza pata watoto wa nguruwe Mwanza? Naomba msaada wako nahitaji Kama 30-50 , natanguliza shukurani Kama unajua wapi wanauza.

Kaka plz naomba mawasiliano yako...sisi tuna kikundi ila ndio mwanza kichanga na ndio tunampango huo wa ufugajii...plz tungependa kuja kukutembelea kuja kujifunza kidogo toma kwako sisi tupo apa kihonda au nipigie kwa namba hii 0712 741466 ...wewe ni role modal wetu

Kaka plz naomba mawasiliano yako...sisi tuna kikundi ila ndio mwanza kichanga na ndio tunampango huo wa ufugajii...plz tungependa kuja kukutembelea kuja kujifunza kidogo toma kwako sisi tupo apa kihonda au nipigie kwa namba hii 0712 741466 ...wewe ni role modal wetu
 
Back
Top Bottom