Habari wana JF.
Kuna rafiki yangu alikuwa na boyfriend wake ambaye alimuacha ghafla kwa sababu ambazo hata yeye(rafiki yangu) hazijui. Baada ya hapo kila mmoja aliendelea na maisha yake na jamaa sasa ameoa. Imepita miaka 4 sasa lakini juzi kati jamaa kampigia simu rafiki yangu anamwambia kwamba pamoja na kwamba alimuacha ule ulikuwa ni ujana tu uliokuwa unamsumbua lakini sasa amebaini kuwa anampenda sana na anataka waendelee na mahusiano yao. Na ameanza kumtumia zawadi mbalimbali na amemuhaidi mambo mengi ikiwa ni pamoja na kubadilisha maisha yake. Sasa rafiki yangu amekuja kwangu anaomba ushauri afanyaje na yeye bado alikuwa anampenda na mpaka sasa hajapata mtu wa maana wengi anaokutana nao ni wababaishaji. Jamani naomba mawazo yenu yenye tija ili tuweze kumsaidi bi dada maana yuko njia panda.
Kuna rafiki yangu alikuwa na boyfriend wake ambaye alimuacha ghafla kwa sababu ambazo hata yeye(rafiki yangu) hazijui. Baada ya hapo kila mmoja aliendelea na maisha yake na jamaa sasa ameoa. Imepita miaka 4 sasa lakini juzi kati jamaa kampigia simu rafiki yangu anamwambia kwamba pamoja na kwamba alimuacha ule ulikuwa ni ujana tu uliokuwa unamsumbua lakini sasa amebaini kuwa anampenda sana na anataka waendelee na mahusiano yao. Na ameanza kumtumia zawadi mbalimbali na amemuhaidi mambo mengi ikiwa ni pamoja na kubadilisha maisha yake. Sasa rafiki yangu amekuja kwangu anaomba ushauri afanyaje na yeye bado alikuwa anampenda na mpaka sasa hajapata mtu wa maana wengi anaokutana nao ni wababaishaji. Jamani naomba mawazo yenu yenye tija ili tuweze kumsaidi bi dada maana yuko njia panda.