Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Udini unakusumbua. Hakuna nchi inayotoa pesa bila kuwa na interest yoyote kwenye hiyo nchi. Uturuki na Iran sio nchi za kiarabu. Iran ni wa-Persia na Uturuki ni waturuki, Wanalugha zao ambazo sio kiarabu. Nawashangaa wasomi wetu mnataka kufanana/kuzidiwa na sisi wa madrasa.
Mkuu you are damn right. Kuna watu wanafikiri Isarel ni nchi ya Kikristo, Tanzania ni nchi ya Kikristo, ni wengi tu, inasikitisha kuwa hata hapa JF wanafikiri hivyo, NImeshangaa sana hata kuona watu hawajui kuwa wamisri ni copts. Tuna knowledge ndogo sana kuhusu dunia.
Hata hivyo omba omba ni omba omba tu huwa haangalii, nani anatoa pesa. Si vizuri kuunganisha hili na udini.