Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,088
jamani mbona hamumwamini jmushi1 km yupo kwenye tukio tutamsubiri Tumaini Makene mpaka lini? acheni anachokipata kiwekwe hadharani hivyo vingine viende Magazetini keshoKiherehere cha nini, kwa nini usisubiri Tumaini Makene atupe ripoti kamili na ubaki kama mchangiaji tu
Mkuu ww tumwagie Kamuhanda alivyofoka au kufokewa na IGP